Msaada: Kuhama kazi kwenye chuo kikuu cha uma

Msaada: Kuhama kazi kwenye chuo kikuu cha uma

Hydrocephalus

Member
Joined
Feb 6, 2012
Posts
27
Reaction score
5
Rrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr
 
sasa wewe Elimu yako yote umeshindwa kutatua hilo.
 
Kama demand ushaona Morogoro ipo wewe omba kazi kule wakuajiri then hapo ulipo watandike resignation letter.Mimi nafahamu watu wengi wameresign chuo kimoja kwenda kufundisha kingine.
 
Kweli elimu haujakukomboa pamoja na shahada ya uzamili uliyonayo unashindwa kutatua hilo tatizo wakati njia za kufuata unazifaham,hata hivyo kuna professiona za kusumbuliwa kama unataka kuhama na sio za vyuo vya umma,anyway hujaweka wazi kama ww uko utawala au ni mhadhiri,kama uko utawala kazi unayo ila kama ni mhadhiri ntakucheka sana kama unawaelimisha wanafunzi then ww mwenyewe zero,msaada wangu nenda utumishi pale magogoni kwenye ile tower eleza shida yako tena ya kifamilia fasta watakupa uhamisho maana serikalini ishu ya familia ukitaka kuhama wanaipa kipaumbele sana kukwepa watumishi wna familia wasichakachuliwe
 
Kweli elimu haujakukomboa pamoja na shahada ya uzamili uliyonayo unashindwa kutatua hilo tatizo wakati njia za kufuata unazifaham,hata hivyo kuna professiona za kusumbuliwa kama unataka kuhama na sio za vyuo vya umma,anyway hujaweka wazi kama ww uko utawala au ni mhadhiri,kama uko utawala kazi unayo ila kama ni mhadhiri ntakucheka sana kama unawaelimisha wanafunzi then ww mwenyewe zero,msaada wangu nenda utumishi pale magogoni kwenye ile tower eleza shida yako tena ya kifamilia fasta watakupa uhamisho maana serikalini ishu ya familia ukitaka kuhama wanaipa kipaumbele sana kukwepa watumishi wna familia wasichakachuliwe

Mkuu hapa umenigusa hata mimi.mimi mwenyewe nataka kuhama.Nafanya kazi wizara fulani. Tatizo ni kwamba pale kwa ujuzi wangu naona kama nipo chaka. Kaazi zipo lakini ndogo ndogo. Nataka kwenda wizara kama tamisemi,uchukuzi au miundombinu
 
We utakua na mastaz ya mambo ya ushirika,ndo maana unashndwa kupambanua mambo mwenyewe.
 
Hahaha! Sijui vijana wetu wanafundishwa nini!
Sasa wewe lecturer unataka uhamisho kama mwanafunzi wa sekondari ama praimare? Kwani hiyo kazi hapo ushirika uliipataje? Muambie aliekubeba akusaidie tena manake miguu imegoma kutembea! Hebu acha uzembe mwalimu,kha!
 
Back
Top Bottom