Hydrocephalus
Member
- Feb 6, 2012
- 27
- 5
Rrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr
sasa wewe elimu yako yote umeshindwa kutatua hilo.
Kweli elimu haujakukomboa pamoja na shahada ya uzamili uliyonayo unashindwa kutatua hilo tatizo wakati njia za kufuata unazifaham,hata hivyo kuna professiona za kusumbuliwa kama unataka kuhama na sio za vyuo vya umma,anyway hujaweka wazi kama ww uko utawala au ni mhadhiri,kama uko utawala kazi unayo ila kama ni mhadhiri ntakucheka sana kama unawaelimisha wanafunzi then ww mwenyewe zero,msaada wangu nenda utumishi pale magogoni kwenye ile tower eleza shida yako tena ya kifamilia fasta watakupa uhamisho maana serikalini ishu ya familia ukitaka kuhama wanaipa kipaumbele sana kukwepa watumishi wna familia wasichakachuliwe
We utakua na mastaz ya mambo ya ushirika,ndo maana unashndwa kupambanua mambo mwenyewe.