Msaada kuchagua gari please....

Msaada kuchagua gari please....

Seto

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2011
Posts
953
Reaction score
56
Habari wandugu, nimepata visenti vyangu sasa nataka usafiri ila kuna selection fulani nimefanya ya magari ambayo nina uwezo nayo na nafikiria kupata mojawapo... Dhumuni ni safari za mbali ambazo ni Dar to Moshi, Dodoma na Mwanza kwa pilikapilika zangu za kibiashara na mambo mengine....

Ombi langu ni yeyote mwenye UZOEFU na mojawapo kati ya haya anisaidie maelezo nipate mwanga zaidi maana nimetembelea website mbalimbali napata information zisizofanana. Haswa haswa kwenye fuel consumption na upatikanaji wa spea......


Magari yenyewe ni
1. Mark II Grande 2500cc
2. Brevis 3000cc
3. Harrier 3000cc
4.Crown Royal Saloon 3000cc ya kuanzia mwaka 2004
5. Isuzu Bighorn 3.1D
6. Nissan Skyline 300GT.
 
Mkuu mbona baadhi ya magari hapo sio mahsusi kwa safari ndefu...
Anyway kwa hayo uliyoyaweka walau Harrier binafsi naona ndio poa...
 
Nunua Suzuki escudo 4 valves(V4) ndo itakufaa kwakuwa ina economy engine-1800cc,iko durable,imepanda inaweza kupita rough road,unaweza enda nayo hata kiwanja,inabeba 6 passengers(family)

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Uwezo wa kununua Starlet sina sasa nitashauri nini?
 
Mkuu mbona baadhi ya magari hapo sio mahsusi kwa safari ndefu...
Anyway kwa hayo uliyoyaweka walau Harrier binafsi naona ndio poa...

Thanx, ila naangalia haya sababu uwezo ndugu unakwaza..
 
Unataka gari ya ukweli basi tafuta brevis ya 2500 cc sio 3000 cc,ni very powerfull halafu less consumption! Utastarehe safari zako
 
Nunua Suzuki escudo 4 valves(V4) ndo itakufaa kwakuwa ina economy engine-1800cc,iko durable,imepanda inaweza kupita rough road,unaweza enda nayo hata kiwanja,inabeba 6 passengers(family)

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Asante kwa ushauri.
 
Unataka gari ya ukweli basi tafuta brevis ya 2500 cc sio 3000 cc,ni very powerfull halafu less consumption! Utastarehe safari zako

Okey.. asante..
 
Unataka gari ya ukweli basi tafuta brevis ya 2500 cc sio 3000 cc,ni very powerfull halafu less consumption! Utastarehe safari zako

kweli kiongozi, Brevis liko kistarehe zaidi yani ukikaa kule ndani ni kama Benz au BMW.. kwa safari za mara kwa mara achukue Harrier, hizi saloon simshauri hata kama c.c ni kubwa!
 
01w.jpg

2200 cc.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom