Habari wandugu, nimepata visenti vyangu sasa nataka usafiri ila kuna selection fulani nimefanya ya magari ambayo nina uwezo nayo na nafikiria kupata mojawapo... Dhumuni ni safari za mbali ambazo ni Dar to Moshi, Dodoma na Mwanza kwa pilikapilika zangu za kibiashara na mambo mengine....
Ombi langu ni yeyote mwenye UZOEFU na mojawapo kati ya haya anisaidie maelezo nipate mwanga zaidi maana nimetembelea website mbalimbali napata information zisizofanana. Haswa haswa kwenye fuel consumption na upatikanaji wa spea......
Magari yenyewe ni
1. Mark II Grande 2500cc
2. Brevis 3000cc
3. Harrier 3000cc
4.Crown Royal Saloon 3000cc ya kuanzia mwaka 2004
5. Isuzu Bighorn 3.1D
6. Nissan Skyline 300GT.
Unataka gari ya ukweli basi tafuta brevis ya 2500 cc sio 3000 cc,ni very powerfull halafu less consumption! Utastarehe safari zako
Kaka xtrail nadhani kwenye comfortability na fuel consumption ziko vizuri nazo,labda kama sio choice yake mtoa madaInategemea matumizi yako makubwa yako wapi,
kama ni mtu wa kusafiri safari ndefu muda mwingi 4x4 turbocharged diesels is the way to go. Ila kama unatumia muda mwingi kwenye misele ya mjini chukua saloons za petrol.
Top priority zako ni zipi ,Economy au luxury? Mara nyingi gari zenye fuel economy zina compromise luxury!
Katika halibya kawaida ni ngumu sana kupata gari litakalo combine Matumizi yako yote, na hii ndio sababu kubwa inayooelekea watu kuwa na magari zaidi ya moja ,
Kama huna hela ya mawazo Jaribu kuangalia specification za Land cruiser V8! 1VD -FTV @ 12 km per litre urban cycle nadhani ni best kwa matumizi yote!
Mbona hakuna subaru kwenye list yako.
Subaru niliifikiria but wengi wanasema spea tatizo....
Habari wandugu, nimepata visenti vyangu sasa nataka usafiri ila kuna selection fulani nimefanya ya magari ambayo nina uwezo nayo na nafikiria kupata mojawapo... Dhumuni ni safari za mbali ambazo ni Dar to Moshi, Dodoma na Mwanza kwa pilikapilika zangu za kibiashara na mambo mengine....
Ombi langu ni yeyote mwenye UZOEFU na mojawapo kati ya haya anisaidie maelezo nipate mwanga zaidi maana nimetembelea website mbalimbali napata information zisizofanana. Haswa haswa kwenye fuel consumption na upatikanaji wa spea......
Magari yenyewe ni
1. Mark II Grande 2500cc
2. Brevis 3000cc
3. Harrier 3000cc
4.Crown Royal Saloon 3000cc ya kuanzia mwaka 2004
5. Isuzu Bighorn 3.1D
6. Nissan Skyline 300GT.
Uwezo wa kununua Starlet sina sasa nitashauri nini?