Msaada kuchagua gari please....

Msaada kuchagua gari please....

01w.jpg

2200 cc.
Nimeiona,
 
Tafuta Hilux Surf,
Hizi ambazo zinafanana na Isuzu Wizard au Nissan Terrano.

Yaani hapo hata ukiwa nyuma ya Steling unafeel unaendesha gari!
 
Inategemea matumizi yako makubwa yako wapi,

kama ni mtu wa kusafiri safari ndefu muda mwingi 4x4 turbocharged diesels is the way to go. Ila kama unatumia muda mwingi kwenye misele ya mjini chukua saloons za petrol.

Top priority zako ni zipi ,Economy au luxury? Mara nyingi gari zenye fuel economy zina compromise luxury!

Katika halibya kawaida ni ngumu sana kupata gari litakalo combine Matumizi yako yote, na hii ndio sababu kubwa inayooelekea watu kuwa na magari zaidi ya moja ,

Kama huna hela ya mawazo Jaribu kuangalia specification za Land cruiser V8! 1VD -FTV @ 12 km per litre urban cycle nadhani ni best kwa matumizi yote!
 
Nadhani hzi saloon car ungeachana nazo, kisha pambanisha kati ya Harrier na Suzuki (4cylinder) matoleo ya 2005-2008; ni km 14/litre na ziko imara, hazina mambo ya kuchemka kwenye safari ndefu na hata spea za suzuki ni nyingi sana kwa Tanzania. Pia tofauti na Suzuki za matoleo ya 1992-97 ambazo pamoja uimara wake lakini ndani ziko local mno, hizi ni nzuri zaidi ila usichukue suzuki za 98-2003, na baadhi ya za 2005
06.jpg

05.jpg
 
Nunua Suzuki escudo 4 valves(V4) ndo itakufaa kwakuwa ina economy engine-1800cc,iko durable,imepanda inaweza kupita rough road,unaweza enda nayo hata kiwanja,inabeba 6 passengers(family)

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

mkuu...unajua valve ni nini???gari ya kawaida ya 4-cylinder engine ina si chini 8 valves.....2 valves on each cylinder....1 inlet valve....one exhaust[outlet valve]......hio suzuki ya 1800cc ina 16valves......4 valves on each cylinder.....v6 zina 24 valves.
 
Hahaha ya itv kali.kweli lazima ujue 24valve inakuaje au 16valve V8 au V6
 
km age yako ni kati ya 18-35 yrs verossa or mark x itakufaa.
 
Tafuta Hilux Surf,
Hizi ambazo zinafanana na Isuzu Wizard au Nissan Terrano.

Yaani hapo hata ukiwa nyuma ya Steling unafeel unaendesha gari!

ok.. will work on ur advice.
 
Inategemea matumizi yako makubwa yako wapi,

kama ni mtu wa kusafiri safari ndefu muda mwingi 4x4 turbocharged diesels is the way to go. Ila kama unatumia muda mwingi kwenye misele ya mjini chukua saloons za petrol.

Top priority zako ni zipi ,Economy au luxury? Mara nyingi gari zenye fuel economy zina compromise luxury!

Katika halibya kawaida ni ngumu sana kupata gari litakalo combine Matumizi yako yote, na hii ndio sababu kubwa inayooelekea watu kuwa na magari zaidi ya moja ,

Kama huna hela ya mawazo Jaribu kuangalia specification za Land cruiser V8! 1VD -FTV @ 12 km per litre urban cycle nadhani ni best kwa matumizi yote!

Asante kwa ushauri,,, priority ni Economy then Luxury inafata maana wese bei zinapanda kila kukicha...
 
Nadhani hzi saloon car ungeachana nazo, kisha pambanisha kati ya Harrier na Suzuki (4cylinder) matoleo ya 2005-2008; ni km 14/litre na ziko imara, hazina mambo ya kuchemka kwenye safari ndefu na hata spea za suzuki ni nyingi sana kwa Tanzania. Pia tofauti na Suzuki za matoleo ya 1992-97 ambazo pamoja uimara wake lakini ndani ziko local mno, hizi ni nzuri zaidi ila usichukue suzuki za 98-2003, na baadhi ya za 2005
06.jpg

05.jpg
nimekupata..
 
Inategemea matumizi yako makubwa yako wapi,

kama ni mtu wa kusafiri safari ndefu muda mwingi 4x4 turbocharged diesels is the way to go. Ila kama unatumia muda mwingi kwenye misele ya mjini chukua saloons za petrol.

Top priority zako ni zipi ,Economy au luxury? Mara nyingi gari zenye fuel economy zina compromise luxury!

Katika halibya kawaida ni ngumu sana kupata gari litakalo combine Matumizi yako yote, na hii ndio sababu kubwa inayooelekea watu kuwa na magari zaidi ya moja ,

Kama huna hela ya mawazo Jaribu kuangalia specification za Land cruiser V8! 1VD -FTV @ 12 km per litre urban cycle nadhani ni best kwa matumizi yote!

Mkuu vp kuhusu Jeep Grand Cherokee? Iko poa kwa matumizi ya rough roads na safari ndefu? Naipenda sana hii gari ila sina details zake apart from fuel consumption
 
Mkuu vp kuhusu Jeep Grand Cherokee? Iko poa kwa matumizi ya rough roads na safari ndefu? Naipenda sana hii gari ila sina details zake apart from fuel consumption

Ogopa sana brand za 'US' kama wewe ni mtu wa kipato cha kawaida , jeep ni reliable sana lakini kuna class ya watu wake ! spea ni ghali na hazipatikani kirahisi , service interval zake ni fupi sana ukilinganisha na 4x4 za japan au uk, kiufupi hakuna tofauti na hammer !
 
Kwa mtazamo wangu age inaendana na aina ya gar ya kumiliki,ingawa si sheria ni mtazamo tu,
18-35 unamiliki gar ambayo unaeza kui pimp 17" rim,music etc thts y nkasema verossa,mark x,brevis etc zinapendeza zaid kwa bata,

above 35 gari km pick ups,rav 4,x-trail zinawapendeza zaid,ni mtazamo tu teh teh teh.

unapotaka kununua gari kuna vitu vingi vya kuzingatia km

1.gari kwaajili shughuli binafsi za kijasiriamali

2.gari kwa matumizi ya kawaida

3.gari ya familia

4.gari ya biashara

nk;gari ni gari
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom