Habari wana jf, nimekuwa na tatizo linalonisumbua takribani miaka minne sasa, kucha zangu za vidole vya miguu zinaota kwa kuchimba nyama kitu ambacho wakati mwinginw hunisababishia maumivu makali sana hata kuvaa viatu siwezi,na nikijaribu kukata huwa kinabakia kama kidonda nilichokatwa na wembe, naomba msaada wenu tatizo hili husababishwa na nini, na tiba yake ni nini. Asanteni.