Msaada: Kublock simu iliyoibiwa

Msaada: Kublock simu iliyoibiwa

JF watu wanadharau sn wakati humu kuna wanaotumia hzo tecno za kawaida kuingia jf na wengne ni kula kulala makwao bt dharau kibao,hiyo tecno inauzwa elf 40 je ni pesa ndogo? mmekalili touch ndo cm tu wakati zna matatzo kibao ukiwa nayo mpaka uwe na nyngne mnayoidharau humu,huo ni uboya.
 
JF watu wanadharau sn wakati humu kuna wanaotumia hzo tecno za kawaida kuingia jf na wengne ni kula kulala makwao bt dharau kibao,hiyo tecno inauzwa elf 40 je ni pesa ndogo? mmekalili touch ndo cm tu wakati zna matatzo kibao ukiwa nayo mpaka uwe na nyngne mnayoidharau humu,huo ni uboya.
Haina haja ya kumtusi mtu, kiufupi huyu jamaa simu aliyo taja, na ushauri aliomba ni vitu viwili tofauti. Sawa hiyo simu inauzwa elfu 40, na mchakato wa kuifungia unaweza zidi au kufikia hiyo elfu 40 sasa hapo unakuwa umefanya nini.
Sababu ni simu ambayo huwezi sema utaweka program ui track, zaidi ni safari za kituo cha polisi, awasiliane na providers kama tigo, voda nk, na mwisho tcra tena awe na IMEI na risiti.
Bado akiifungia still mtumiaji anaweza iflash na kubadili IMEI hapo hapo na ikaendelea kutumika.
Hebu piga hesabu hiyo mizunguko na thamini ya simu tajwa. Haya kamaliza hiyo ya kufungia simu ajichange anunue nyingine, think twice utajua kwanini watu wameshindwa kutoa suluhisho hapo.
Usikimbilie kutusi watu.
 
Kwema wakuu!Nimeibiwa simu aina ya tecno T410 nahitaji kuifungia isitumike,ninazo IMEI NO ZAKE!

wanaoweza kukusaidia ni polisi na mitandao ya simu kwa kuitrack down... ila pesa utakayotoa ni bora ununue simu ingine.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom