Msaada: Kublock simu iliyoibiwa

Msaada: Kublock simu iliyoibiwa

G45

Senior Member
Joined
Apr 21, 2016
Posts
163
Reaction score
94
Kwema wakuu!Nimeibiwa simu aina ya tecno T410 nahitaji kuifungia isitumike,ninazo IMEI NO ZAKE!
 
Au TCRA hawawezi kunikamatia huyu mwizi kupitia IMEI namba wakajua ninani!
 
KUNA MWIZI NAMUHISI
 
Kweli watu wachungu,unaitolea macho mpaka tecno ya button ya 2G!
Ungeibiwa ya 4G si ungemng'oa mtu shingo kabisa?
 
Hahahaha Tecno daaah anya way labda nikuulize tu utajirishisha vipi kua huko iliko ilishakua kopo wakati huo kaishika mtu mwingine au unataka tu wakupige hela nyingine!!
 
jamani member kaomba msaada
msaidieni basi km mnaijua hiyo Tecno T410 tujuzeni na sisi ni ipi ya Tochi au ni hizi za kupangusa (Android)
 
jamani member kaomba msaada
msaidieni basi km mnaijua hiyo Tecno T410 tujuzeni na sisi ni ipi ya Tochi au ni hizi za kupangusa (Android)
Ni simu ya tochi ndio maana nimeshangaa
 
Kweli watu wachungu,unaitolea macho mpaka tecno ya button ya 2G!
Ungeibiwa ya 4G si ungemng'oa mtu shingo kabisa?
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha cha mtu mavi, unafikiri walikosea
 
Wakuu Nina CMU Kali tu ila huyu mwizi namtamani coz namuhisi nnan.
 
Mmh ,mbona anaweza badili imei tu,lakin kama unataka umkamate inawezekana kama hajabadili,ila pesa na mlolongo wake mkubwa hadi uende police
 
Back
Top Bottom