msaada kuandaa financial statements

twende kazi

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
1,520
459
Nimeajiriwa kanisani fresh from school kitengo cha uhasibu nimekuta receipts & payments invoices tu.Hawajawahi kuandaa any final reports wana miradi mbali mbali ikiwemo majengo,magari,mashamba na other revenue centres.Tatizo nawezaje kuandaa statement of financial position while sijui thamani halisi ya fixed assets?mapungufu yapo mengi nitafunguka kadri mnavyonijibu.msaada kwa wazoefu plz
 
hongera kwa kupata kazi mkuu,kumbuka kazi ni mbaraka
kwanza naomba upitie topic ya non profit business account! nafikiri itakusaidia its simple but very technical pia rejea kwenye different international standard
kumbuka uandaaji wake wa financial statement quite different na fs tulizozoea
fixed asset unaweza kuipata kama ukijua thamani ya manunuzi kwa mara ya kwanza ,alafu pigia gharama ya uchakavu(deprecion rate) mpaka mwaka huu
pia unaweza kufanya mawasiliano na mhasibu aliyekuachiaofisi kwa taarifa zaidi
au tafuta financial consultancy atakaye wasaidia kuandaa system nzima ya fedha itakuwa vizuri
best of luck mkuu kwenye ajira mpya
 
hongera kwa kupata kazi mkuu,kumbuka kazi ni mbaraka
kwanza naomba upitie topic ya non profit business account! nafikiri itakusaidia its simple but very technical pia rejea kwenye different international standard
kumbuka uandaaji wake wa financial statement quite different na fs tulizozoea
fixed asset unaweza kuipata kama ukijua thamani ya manunuzi kwa mara ya kwanza ,alafu pigia gharama ya uchakavu(deprecion rate) mpaka mwaka huu
pia unaweza kufanya mawasiliano
 
Nimeajiriwa kanisani fresh from school kitengo cha uhasibu nimekuta receipts & payments invoices tu.Hawajawahi kuandaa any final reports wana miradi mbali mbali ikiwemo majengo,magari,mashamba na other revenue centres.Tatizo nawezaje kuandaa statement of financial position while sijui thamani halisi ya fixed assets?mapungufu yapo mengi nitafunguka kadri mnavyonijibu.msaada kwa wazoefu plz

non-profit organization like that zinakuwa na account:income and expenditure, receipts and payment, b/sheet
Assets: Angalia documents zilizopo, kwa mfano Majengo yao pindi wana acquire, unacheki na applicable depreciation rate.
 
Nimeajiriwa kanisani fresh from school kitengo cha uhasibu nimekuta receipts & payments invoices tu.Hawajawahi kuandaa any final reports wana miradi mbali mbali ikiwemo majengo,magari,mashamba na other revenue centres.Tatizo nawezaje kuandaa statement of financial position while sijui thamani halisi ya fixed assets?mapungufu yapo mengi nitafunguka kadri mnavyonijibu.msaada kwa wazoefu plz

Simply for you:

MAPATO/MATUMIZI
  • Kila mapato weka kulia
  • Kila matumizi weka kushoto
Tofauti ya jumla ya hizo mbili ndio ziada(sio faida)/pungufu(sio hasara)

MALI/MADENI
  • Kila thamani ya mali weka kushoto
  • Kila thamani ya ahadi weka kushoto
  • Kila thamani ya deni weka kulia
Tofauti ya jumla ya hizo mbili(kulia na kushoto) ndio thamani yenu kifedha
 
Mtoa mada, huko shule mlifundishwa nini? Kama ni uhasibu, je hamkufundishwa jinsi ya kuandaa financial statements? Na kama sio uhasibu, kwa nini umeajiriwa katika fani usiyo na utaalam nayo?
 
Mtoa mada, huko shule mlifundishwa nini? Kama ni uhasibu, je hamkufundishwa jinsi ya kuandaa financial statements? Na kama sio uhasibu, kwa nini umeajiriwa katika fani usiyo na utaalam nayo?

nafahamu kuandaa statements tatizo sijui thaman ya mali zilizopo mfano wana mashamba ya kurithi,magari ya misaada na majengo wameyakuta so unategemea nitaandaa vp bila kujua thamani halisi?
 
nafahamu kuandaa statements tatizo sijui thaman ya mali zilizopo mfano wana mashamba ya kurithi,magari ya misaada na majengo wameyakuta so unategemea nitaandaa vp bila kujua thamani halisi?

Kuhusiana na mashamba na majengo kuna professionals wa valuation. Ukiwapata hao watakusaidia kupata thamani yake. Na kuhusu magari, kama unajua ni ya mwaka gani mnaweza kukubaliana depreciation rate kisha mkayapigia mpaka mkapata book value yake kwa sasa.
 
Unaweza ukaandaa kwa kutumia cost less depreciation, au ukatumia market value.

kama ni market value na ni mara ya kwanza sio mbaya. But kama ni market value na ulishaandaa kabla basi unatakiwa utoe impairment/loss in revaluation ambayo itapunguza nominal profit.

Usisahau pia kucheki na cash flows, but pia ratios ni muhimu hasa profitability ratio na performance ratios??

otherwise kila la heri mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom