utakuja
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 989
- 797
Habari wakuu, ninahitaji direction kidogo kwa Dar es salaam; ni wapi naweza pata huduma ya kuaminika (fundi) ya kufungua router tajwa kutoka kampuni ya Tigo, ili niweze kuitumia na line nyingine.
Hii ni kutokana na Tigo kubadilisha vifurushi vyao vya Home Internet nilivyozoea, na kuweka vifurushi vya kipumbavu (Kwa upande wangu binafsi).
Kabla, kwa sababu za kihistoria, vifurushi vilikua kama ifuatavyo:
Wiki
Standard 12 GB - 15,000
Standard+ 40 GB (20GB kuanzia saa 6 usiku hadi 11:59 alfajiri na 20 GB kutumia wakati wowote) - 25,000
Premium 60 GB (30GB kuanzia saa 6 usiku hadi 11:59 alfajiri na 30 GB kutumia wakati wowote) - 35,000
Mwezi
Standard 60 GB (30GB kuanzia saa 6 usiku hadi 11:59 alfajiri na 30 GB kutumia wakati wowote) - 50,000
Standard+ 100 GB (50GB kuanzia saa 6 usiku hadi 11:59 alfajiri na 50 GB kutumia wakati wowote) - 85,000
Premium 200 GB (100GB kuanzia saa 6 usiku hadi 11:59 alfajiri na 100 GB kutumia wakati wowote) - 120, 000
(screenshot zimeambatanishwa)
Mbaya zaidi hata walivyovibadilisha hawajatoa taarifa, na ndani ya app ya Tigo Pesa mabadiliko haya bado hayaja-reflect. Hivyo, ukinunua kifurushi kimoja wanakupa kifurushi tofauti na ulivyotegemea.
Vifurushi vyao sasa:
Regular 6.5 GB - 15,000
Standard 14 GB - 30,000
Standard+ 30 GB - 50,000
Premium 70 GB - 100,000
(screenshot imeambatanishwa)
Hitimisho, nitashukuru sana msaada wenu wa wapi niende Jijini Dar es Salaam. Pia isingekuwa mbaya na kuweka bei ya huduma hiyo, ili nikirudi Jijini hatua zangu za kwanza ni kufika huko moja kwa moja. Ahsanteni.
Hii ni kutokana na Tigo kubadilisha vifurushi vyao vya Home Internet nilivyozoea, na kuweka vifurushi vya kipumbavu (Kwa upande wangu binafsi).
Kabla, kwa sababu za kihistoria, vifurushi vilikua kama ifuatavyo:
Wiki
Standard 12 GB - 15,000
Standard+ 40 GB (20GB kuanzia saa 6 usiku hadi 11:59 alfajiri na 20 GB kutumia wakati wowote) - 25,000
Premium 60 GB (30GB kuanzia saa 6 usiku hadi 11:59 alfajiri na 30 GB kutumia wakati wowote) - 35,000
Mwezi
Standard 60 GB (30GB kuanzia saa 6 usiku hadi 11:59 alfajiri na 30 GB kutumia wakati wowote) - 50,000
Standard+ 100 GB (50GB kuanzia saa 6 usiku hadi 11:59 alfajiri na 50 GB kutumia wakati wowote) - 85,000
Premium 200 GB (100GB kuanzia saa 6 usiku hadi 11:59 alfajiri na 100 GB kutumia wakati wowote) - 120, 000
(screenshot zimeambatanishwa)
Mbaya zaidi hata walivyovibadilisha hawajatoa taarifa, na ndani ya app ya Tigo Pesa mabadiliko haya bado hayaja-reflect. Hivyo, ukinunua kifurushi kimoja wanakupa kifurushi tofauti na ulivyotegemea.
Vifurushi vyao sasa:
Regular 6.5 GB - 15,000
Standard 14 GB - 30,000
Standard+ 30 GB - 50,000
Premium 70 GB - 100,000
(screenshot imeambatanishwa)
Hitimisho, nitashukuru sana msaada wenu wa wapi niende Jijini Dar es Salaam. Pia isingekuwa mbaya na kuweka bei ya huduma hiyo, ili nikirudi Jijini hatua zangu za kwanza ni kufika huko moja kwa moja. Ahsanteni.