Msaada ku-install vodafone modem kwenye dell pc

Msaada ku-install vodafone modem kwenye dell pc

selestin john

Member
Joined
Jan 20, 2012
Posts
67
Reaction score
8
Please wakuu,naombeni msaada mwanzoni nilikuwa natumia internet kwa modem ya vodafone lakini baada ya kushusha window tuu nikii-connect inaleta message "welcome to found new hardware wizard" na inaonyesha kwamba inahitaji driver, lakini nimejaribu karibu cd kama 3 hv za drivers na imegoma kufanya installation,dizain kama nimedata maana mpaka nimeshusha window kama mara 4 lakini bado,msaada tafadhali nimekwama
 
Please wakuu,naombeni msaada mwanzoni nilikuwa natumia internet kwa modem ya vodafone lakini baada ya kushusha window tuu nikii-connect inaleta message "welcome to found new hardware wizard" na inaonyesha kwamba inahitaji driver, lakini nimejaribu karibu cd kama 3 hv za drivers na imegoma kufanya installation,dizain kama nimedata maana mpaka nimeshusha window kama mara 4 lakini bado,msaada tafadhali nimekwama



chukua mordem yako chomeka ktk pc nyengine halafu fungua my computer utaona mordem yako mfano ni drive (f) open kwenye mordem yako copy hiyo software yote ya mordem yako weka ktk folder than weka ktk flash nenda ka install ktk pc yako than chomeka mordem yako hapo itaona driver jaribu lete majibu
 
Nimejaribu kwenye computer kama 3 inaleta message ileile wakuu,sijui nifanyaje?
 
tafta mtu mwenye modem kama yako, ichomeke kwenye pc yake fungua hiyo modem copy mafile ya dashboard ya hiyo modem weka kwenye flash kainstall kwenye pc yako then chomeka modem yako ninadhan itasoma.
 
Thanks sana nimedownload software na kuinstall sasa hv fresh ki2 cha 3g mpango mzima,jf daima naikubali,thanks sana
 
wakuu dizaini kama nina issue kama hiyo, but mm inainstall vizuri, but at the end ukifungua application inaonyesha 'no device ensure all devices are properly connected' lakini kwenye pc zingine inapiga mzigo kama kawaida..
another issue ambayo labda inaweza kuwa helpful, nikiichomeka modem kuna issue inaniletea sijui new device, inakuwa kama imerecognize USB na inainstall, then ikifinish bado inarudia kurecognize, at the end inasema 'your device may not work properly..nimeunistall kam mara 5 but the same...
 
Back
Top Bottom