Mama timmy
JF-Expert Member
- Jan 2, 2013
- 656
- 212
Moja kwa moja wako kibiashara,bangi,makundi,au upungufu wa akilinilikuwa najiuliza hili swali wa kichwa changu......
ili iweje?
hizi nyingine tunapiga ili tushee na wengine, sasa hizo za sirini watu wanapiga ili iweje? ukweli sielewi
Mkuu Heaven on earth kama unayo unipe vibaya hivyo.
Aache tu zitoke halafu aseme sio zake ni graphics kwani wangapi wanaujua uchi wake? Na hao si washaelewa sio ishu simu ilipotea yeye ale jiwe tu aachane nae kabisa akimaliza ku upload ataenda kulala zakeJamani mi nishaduscuss sana hicho mnachosema mwenyewe na nimemuuliza imekuwaje akasema he was just do it for funny,ila kikubwa ndo ishakuwa tatizo na ni funzo pia.Ila pia ndo ishakuwa hivyo,tunamsadiaje!
sina,ningekuwa nishakupa saa nyingi
Why msimripoti polisi, ili afuatiliweNi rafiki yangu Wa kike na siku kadhaa zilizopita alipoteza simu yake ambayo ilikuwa Na picha alizojipiga akiwa half naked,Na nyingine ni Full naked.
Kuna mjanja kaiokota akatafuta jina lake akalipata,kaingia Facebook akafungua new account akaipa jina la Huyo binti.
Anachofanya now ana-upload picha moja baada ya nyingine kila siku na amempigia simu huyu binti anamwambia ampe laki 3 ili asitishe zoezi Na kufuta hiyo account..
Binti kachanganyikiwa now sababu hana hela Na nyumbani wakijua ni bonge LA msala na aibu coz mzee ni noma Na ni kiongozi wa dini ukizingatia na huu muda wa Ramadhani.
Nimejaribu kuchati jamaa kupitia account hiyo alipokuwa online asubuh amesema yuko serious Na sasa anaanza na video clip zilizomo!
Naombeni michango ya mawazo tumshauri nini cha kufanya kuhusu hili,Na je kuna uwezekano wa kufunga account au hiyo kwa njia tofauti au kama kuna sheria kumkamata na kumshtaki jamaa coz only kilichopo ni namba yake tu.
naona ishu si kufuta account pekee, ni pamoja na kuipata hiyo simu, cause anaweza akaendelea kuzipost hizo pics sehemu nyinginentajie jina la hiyo account nitumie uwezo wangu mkubwa wa ushawish afute account tabia mbaya hii kanikera kweli huyo mwanaume
nilikuwa najiuliza hili swali wa kichwa changu......
ili iweje?
hizi nyingine tunapiga ili tushee na wengine, sasa hizo za sirini watu wanapiga ili iweje? ukweli sielewi
Kwa upande mwingine hii kitu inasaidia jamani, sema naona kwenye hii thread watu wote mmekana na kuona huyo dada kama amefanya makosa, nadhani asilimia kubwa wengi wanafanya haya mambo tuache ujinga na unafki wa kukataa, mtu mpo mbali hamjaonana kwa mda fulani, kama ni mkeo gf au bf or whoever mmemisiana why msifanye hivyo ukumbusho unahifadhiwa tu na mnafanya for fun simple
Ila kosa kubwa hapo ambalo naweza sema ni huyo msichana kutofuta hivyo vitu baada ya kuachana na huyo jamaa ila sio why amefanya hivyo na kwa nini, nadhani tusi mseme wakati wengi wanafanya haya mambo....
Zaidi ni kumpa ushauri wa nini afanye...
Daaa inahuzunisha sana kwa kweli kama ni hivyo naona umeweka na msisitizo mkuu (anafanywa) sure hapo ni kweli kabisaa nadhani jamaa shida yake sio hela bali anamkomoa huyo dada, Si unaona sasa mkuu, na inaaonekana mleta mada ana nia ya kumsaidia rafiki yake ila hapa me naona kama huyo demu hataki kuwa straight kwa huyu jamaa.....
hivi mtu unajipiga picha za uchi ili iweje lakiniiii?? ujana kweli maji ya moto...
nilikuwa najiuliza hili swali wa kichwa changu......
ili iweje?
hizi nyingine tunapiga ili tushee na wengine, sasa hizo za sirini watu wanapiga ili iweje? ukweli sielewi
Ni kweli nimemwuliza anadai hizo Video alipigwa Na mchizi wake wakati waki-do,Na ndo jamaa ame target hapo!
Ni rafiki yangu Wa kike na siku kadhaa zilizopita alipoteza simu yake ambayo ilikuwa Na picha alizojipiga akiwa half naked,Na nyingine ni Full naked.
Kuna mjanja kaiokota akatafuta jina lake akalipata,kaingia Facebook akafungua new account akaipa jina la Huyo binti.
Anachofanya now ana-upload picha moja baada ya nyingine kila siku na amempigia simu huyu binti anamwambia ampe laki 3 ili asitishe zoezi Na kufuta hiyo account..
Binti kachanganyikiwa now sababu hana hela Na nyumbani wakijua ni bonge LA msala na aibu coz mzee ni noma Na ni kiongozi wa dini ukizingatia na huu muda wa Ramadhani.
Nimejaribu kuchati jamaa kupitia account hiyo alipokuwa online asubuh amesema yuko serious Na sasa anaanza na video clip zilizomo!
Naombeni michango ya mawazo tumshauri nini cha kufanya kuhusu hili,Na je kuna uwezekano wa kufunga account au hiyo kwa njia tofauti au kama kuna sheria kumkamata na kumshtaki jamaa coz only kilichopo ni namba yake tu.
kweli kabisa hiki ni kiherehereWanafunzi wanapata mimba sababu ya viherehere vyao. Source: Dr.(yakupewa) J M Kikwete, President, URT.
Tatizo hapa ni kiherehere..... mchangieni laki tatu wajameni.
hivi mtu unajipiga picha za uchi ili iweje lakiniiii?? ujana kweli maji ya moto...