ahh mfukoni upo fresh kaka?Wadau, Mi ni mshamba kidogo wa maeneo ya kudatia.
Hapa nina miadi na mtoto wa kishua, amenambia nimtoe out tukapige story ila sasa sijui nitampeleka wapi? Mtoto anarudi kutoka ma mtoni week ijayo.
Msaada haraka maana sijuia pa kwenda. Ila pawe cheap kidogo maana sina mkwanjwa. Na iwe rahisi kufika hata kwa daladala.
Iwe sehem tulivu ambayo nitapia nae story hata masaa matano.
Lengo langu badae awe mchumba.
Wadau, Mi ni mshamba kidogo wa maeneo ya kudatia.
Hapa nina miadi na mtoto wa kishua, amenambia nimtoe out tukapige story ila sasa sijui nitampeleka wapi? Mtoto anarudi kutoka ma mtoni week ijayo.
Msaada haraka maana sijuia pa kwenda. Ila pawe cheap kidogo maana sina mkwanjwa. Na iwe rahisi kufika hata kwa daladala.
Iwe sehem tulivu ambayo nitapia nae story hata masaa matano.
Lengo langu badae awe mchumba.
We uko mkoa gani ili uelekezwe sehemu itakayo kufaa.Wadau, Mi ni mshamba kidogo wa maeneo ya kudatia.
Hapa nina miadi na mtoto wa kishua, amenambia nimtoe out tukapige story ila sasa sijui nitampeleka wapi? Mtoto anarudi kutoka ma mtoni week ijayo.
Msaada haraka maana sijuia pa kwenda. Ila pawe cheap kidogo maana sina mkwanjwa. Na iwe rahisi kufika hata kwa daladala.
Iwe sehem tulivu ambayo nitapia nae story hata masaa matano.
Lengo langu badae awe mchumba.
Si hadi awe nalo tehmpeleke ghetto tu
Date ya kwanza ampeleke ghetto?..Btw msichana kaomba watoke.Kama lengo ni kuwa mchumba na baadae umuoe, na huna mkwanja kiivile, nunua nyanya, pilipili hoho, nazi, karoti, vitunguu, mchelele/viazi, matunda, nyama ya ng`ombe/kuku/samaki etc. Pika chakula hapo unapoishi, tengeneza juisi na andaa matunda, umkaribishe mpate chakula. Akipenda anaweza kuja mkapika pamoja huku mkiongea. Mkimaliza kula unaweza kumtembeza mtaani kwenu apajue huku mkiendelea na maongezi. Lakini kama malengo ni kupiga tu mzigo, then nakushauri hata ukakope VIKOBA ili umpeleke sehemu za "kishua". BE REAL, young man!
Huyo mchumba umemtoa badoo au Facebook?
Hii kitu from badoo nadhani angempeleka kiwanja cha instagram mi naona kiko poaNdio nataka nijue......
Na ukumbuke mtoto anatokea majuu.......usisahau hii......
Hahaha! Sijapata kuona mtu chizi kama wewe.Huyo mchumba umemtoa badoo au Facebook?
Hii kitu from badoo nadhani angempeleka kiwanja cha instagram mi naona kiko poa
Mtoto natokea majuu, na ni wakishua balaa, Afu natamani maisha anayo ishi ila mi sina uwezo huo. Ila nikimpata nita enjoy sana hela zake na tutashirikiana kimaisha .Ndio nataka nijue......
Na ukumbuke mtoto anatokea majuu.......usisahau hii......
Hata hapa kiwanja cha jf kiko poa tu, akiona noma hapa achukue room huko pmAu amlete humu JF.....sisi hatuna noma wala nini........