Msaada: Kituo cha mpunga umwagiliaji

Wu-Ma

Senior Member
Dec 1, 2017
113
277
Wakuu mi huwa nalima mpunga kwa kutegemea mvua huku Mwanza, Mwaka huu msimu haujaenda vzuri, na hvyo hali ni mbaya....
katika pita pita zangu nikakutana na jamaa anafanya kilimo cha umwagiliaji mpunga huku huku Mwanza, anatoa maji ziwani mpak shambani, kiukweli amescore vzur, na mpak sa hv amelima shamba jingine tena, yan yeye ni non stop....

Kwa kweli alinifikrisha sana , lakn inavyoonekana jamaa ana mtaji mkubwa make system alivyoitengeneza inaonesha yupo vizur upande wa capital Istoshe anatumia electric machine kupump maji.....

Nimevutiwa sana na hiki kilimo sababu mpunga ni kilimo cha uhakika, changamoto kubwa huwa ni upatikanaji wa mvua.....

nami nataka nifanye hiki kilimo cha umwagiliaj japo mtaji wangu ni mdog kama 2mil hv...nimepata shamba ambalo ni umbali wa 100m toka ziwani....hvyo nina maswali kadhaa kwa wanajukwaa kwa wenye uzoefu wanisaidie kunijibu ili kama naanza nianze na kama siwezi bas nitafute namna nyingine....

1.Naulizia mashine ya bei nafuu inayoweza kusukuma maji M50-M100 horizontal, Mashine ambayo yaweza saidia kwa hekari angalau 2
2. Naulizia kias cha mafuta mashine hyo inaweza tumia kwa siku na nitahtajika kumwagilia kila baada ya siku ngap?
3.Naulizia pia mbegu nzuri , make na mpango wa kulima mwezi ujao wa sita, nimesita kdog kutumia mbegu za kienyeji hvyo nahtaj mbegu za kisasa ili nipate mavuno mazur.
Natanguliza shukrani wakuu
 
Back
Top Bottom