Habari wana jamiiforums naomba msaada wenu kuhusu Decoder ya Azam TV kila nikiiwasha haiwaki hadi mwisho na badala yake inaamdika neno Boot na kuishia hapo!
Tatizo hili linasababishwa na nini? Msaada wenu tafadhali, nimejaribu kutumia remote nione kama naweza kufika kwenye menu yoyote lakini hakuna responce yoyote.
Tatizo hili linasababishwa na nini? Msaada wenu tafadhali, nimejaribu kutumia remote nione kama naweza kufika kwenye menu yoyote lakini hakuna responce yoyote.