Areus
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 324
- 403
Natanguliza shukrani za dhati km nitasaidiwa tatizo hilo hapo juu.
Tatizo hili limeanza juzi baada ya wenywe Kutangazwa kuwa Kuna mabadiliko ya Satellite ,pamoja na maelekezo waliyotoa ya kuweka chanel namba 100 ili iji install yenyewe nimeweka lakin bado hamna mafanikio, lkn pia na maelekezo mengine ya kufanya installation ya chanel hamna mafanikio pia.Nimewatafuta KWA namba zao huduma kwa wateja namabq hazipaitkani pia
Naomba Msaada, najua kuna wataalumu humu lkn pia siku mbili hiz huenda kuna baadhi wameexperience tatizo hilo
Ahsanteni
Tatizo hili limeanza juzi baada ya wenywe Kutangazwa kuwa Kuna mabadiliko ya Satellite ,pamoja na maelekezo waliyotoa ya kuweka chanel namba 100 ili iji install yenyewe nimeweka lakin bado hamna mafanikio, lkn pia na maelekezo mengine ya kufanya installation ya chanel hamna mafanikio pia.Nimewatafuta KWA namba zao huduma kwa wateja namabq hazipaitkani pia
Naomba Msaada, najua kuna wataalumu humu lkn pia siku mbili hiz huenda kuna baadhi wameexperience tatizo hilo
Ahsanteni