Twin Tower
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 4,907
- 7,123
Hahaha nimekumbuka kisa cha jamaa yangu kuamua kumuachia fundi tv yake alopeleka kwa marekebisho.
Bei ya kifaa ilidhidi bei ya tv dukani aisee.
.
Mie ninayo yangu 65’ nimeamua kubaki nayo kama kumbukumbu tu. Ipo siku itarudi tena hewani.
Bei ya kifaa ilidhidi bei ya tv dukani aisee.

.Mie ninayo yangu 65’ nimeamua kubaki nayo kama kumbukumbu tu. Ipo siku itarudi tena hewani.
