Twin Tower
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 4,903
- 7,184
Hahaha nimekumbuka kisa cha jamaa yangu kuamua kumuachia fundi tv yake alopeleka kwa marekebisho.
Bei ya kifaa ilidhidi bei ya tv dukani aisee. [emoji23][emoji23].
Mie ninayo yangu 65’ nimeamua kubaki nayo kama kumbukumbu tu. Ipo siku itarudi tena hewani.
Bei ya kifaa ilidhidi bei ya tv dukani aisee. [emoji23][emoji23].
Mie ninayo yangu 65’ nimeamua kubaki nayo kama kumbukumbu tu. Ipo siku itarudi tena hewani.