Msaada kila nikiroot simu yangu inakua nzito

Msaada kila nikiroot simu yangu inakua nzito

Gorilla Zoo

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2016
Posts
257
Reaction score
412
wakuu hii ipoje yaani kila baada ya kuroot sim hua inakua nzito yaani ukifungua application inakua nzito na haichelewi ina exit ni simu ya tatu hii msaada nifanyeje coz now naona ku root ni ka kuua simu
 
wakuu hii ipoje yaani kila baada ya kuroot sim hua inakua nzito yaani ukifungua application inakua nzito na haichelewi ina exit ni simu ya tatu hii msaada nifanyeje coz now naona ku root ni ka kuua simu
Unatmia sm gan
 
Back
Top Bottom