kiss ov love
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 9,363
- 16,092
Nimekuwa nikisumbuliwa na kifua na mafua yasiyopona, naombeni msaada mwenye kufahamu dawa au wapi ntapata tiba, Asanteni.
Hapana badoPole sana... Umejaribu kwenda kufanyiwa vipimo?
Asante mkuu ntaenda kuulizia PharmacyDiprofos inj+Montelukast tbs siku 30
Asante sana mkuu ntafanya hivyoPole Sana.. Maumivu yakizidi muone daktari
Fanya hivo bas... Huku utashauriwa mengi yasiyokua ya uhakikaHapana bado
Kwa mfano hospital gani unanishauri nianzieFanya hivo bas... Huku utashauriwa mengi yasiyokua ya uhakika
Consult a doctor kwanza!Asante mkuu ntaenda kuulizia Pharmacy
Kama upo arusha nenda St ElizabethKwa mfano hospital gani unanishauri nianzie
Unapotafuta Huduma za Ushauri wa Afya mitandaoni.Nimekuwa nikisumbuliwa na kifua na mafua yasiyopona, naombeni msaada mwenye kufahamu dawa au wapi ntapata tiba, Asanteni.
Asante mkuu, jinsia yangu ni KE, Eneo ninaloishi ni Dar, kazi zinazohusisha kuwa karibu na vumbi kiasi.Unapotafuta Huduma za Ushauri wa Afya mitandaoni.
Zingatia kuelezea
Umri wako, Jinsia yako , Eneo unaloishi( Wilaya au MKOA) , Aina ya Kazi .
Kisha elezea tatizo lako Kwa upana, Kifua kinasumbua, kinasumbuaje ? Kina muda gan? kikohozi? Shida za kupumua, ? Kubanwa Kwa kifua? Homa ? Kichwa? Jasho la usiku ? Uzito ? Hamu ya kula, Miguu kuvimbaa?Moyo kukimbia n.k !!.
Asante mkuu ntafanya hivyoConsult a doctor kwanza!
Hapana mkuu nipo DarKama upo arusha nenda St Elizabeth
Ni wapi niende nikachukue hivyo vipimo mkuuConsider allergy test...or try to include over-the-counter allergy medication in your treatment
pole sana unaweza kuwa na allergy. lakini nina hakika una upungufu pia wa vitamin C. nilikua na shida kama yako kuumwa mafua kila mwezi na kukohoa. nilipobadili mfumo wa maisha imebaki kuwa hadithi. lakini vema ufike hospitali na ukiweza omba kuonana na daktari wa magonjwa ya mfumo wa hewa (ENT)Asante mkuu, jinsia yangu ni KE, Eneo ninaloishi ni Dar, kazi zinazohusisha kuwa karibu na vumbi kiasi.
Yaani hiki kifua iko hivi asubuhi nikiamka koo linakuwa linakwaruza nikikohoa natema makohozi, muda mwingine inaweza kwenda hiyo hali hadi mchana, sijui kama ntakuwa nimeelezea vizuri
Asante mkuu nitafanya hivyopole sana unaweza kuwa na allergy. lakini nina hakika una upungufu pia wa vitamin C. nilikua na shida kama yako kuumwa mafua kila mwezi na kukohoa. nilipobadili mfumo wa maisha imebaki kuwa hadithi. lakini vema ufike hospitali na ukiweza omba kuonana na daktari wa magonjwa ya mfumo wa hewa (ENT)
Tiba na dawa mi hospitalini baada ya kufanya diagnosis na kujua sababu ni nini. Hapa utashauriwa dawa ambazo zinaweza kukuletea matatizo zaidi. Pia ugonjwa wako unaweza kuwa ni symptoms za jambo kubwa la kiafya kwako, na ukiendelea kuchelewa tatizo litakuwa kubwa.Nimekuwa nikisumbuliwa na kifua na mafua yasiyopona, naombeni msaada mwenye kufahamu dawa au wapi ntapata tiba, Asanteni.