Msaada: Kichwa cha mtoto kimekaa vibaya

Msaada: Kichwa cha mtoto kimekaa vibaya

kazaliwa kipo sawa ila alikuwa analalia upande mmoja wa kichwa ndio maana kikawa hivyo... leo tumempeleka hospital za wahindi upanga nitawapa mrejesho
 
Natumai wazima wadau... naomba msaada wa mawazo kichwa cha mwanangu wa miezi 6 kimekaa vibaya kama hapo kwenye picha... wapi naweza kupata msaada wa kuweka sawa au nini nifanye...

View attachment 2356828
Dah na Mimi ninae wa hivi kila siku huwa namtizama Sina la kufanya...
Alizaliwa hivyo nadhani wakati anazaliwa hakukandwa kikae sawa na nilimzaa kwa upasuaji...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
saba za kichwa hivyo uenda kipnd cha kujifungua uchu ulichelew ukapat tatizo la obstructed laboir ambapo mtoto anshindwa kutka mapema kwa sabb uchungu umechelew au umeisha sababu inay pelekea kichw cha mtot kubanwa ndan ya uke kitaalam ina itwa caput succecedenun.( nadhan kam sabab ni hii alivyo zaliw uligundua?? Channz)
sabab y pili ni mtot kipind anazaliw alizaliw hvyohvyo ambpo kitaalam waanasem alizalew n cphaloblatoma yaan maji yalijaa sehem y fuvu na kusababsha kichwa kuw hvyo.mara nying watoto wanazaliw hvyo iliikifik miak miwil wanapon mwili unarecover wenyew
Ikukatishi tamaaa ila. Haiwezekan mtoazaliw fuvu l kichwa lpo hvy kama sio sabab y 2 . Bas jarib kukumbuk kipind ch ujauzito clinic uliend na daw ukunyw vzr, ulijifungua kw njia gani? Uchungu ulichelew,kuchanikk sehem z siri au kutokw n damu nyngi wakati w kujifungua? Au ulipigw na kit tumbon wakat w ujauzito. Lazim kuw n shida mahali.
Au kun kitu kinaitw cerebral pulsy ambap mtoto anazaliw ambapo miguu au mikon inakakamaa au ialegea sana napo waga wanazaliw na vchwa vy namna hio( mfano kam ushaon mtoto aliezaliw na ulemavu wakushndw kutembea bila tatzo llte ukuji wak waga unachelew.
Kwa harkharak matibabu yke ni ushauri nasah kwa mama amkubal mtoto kama alvy ili mtot atengenz bond na mma iaymsaisia na ukuaji
Tukisema opareshn labd nchi z wengn ila mpk atakapo kua mkubw .ila nawezw kupgw xray,MRI au CT scan kuon kchw kinshd gn ?
Sema ch msng ingebdi kuhojiana san kipind cha ujaozit na lknd ch kujifungua ndio nawez kubain ttzo au chnz n nn?
Kwahiyo hakuna namna ya kurekebisha?
Mie ninae mtoto aliezaliwa na kichwa kimekaa upande sawa kabisa na hiyo picha ya mtoa mada.

Lakini Mimi nilizaa kwa upasuaji na sikuwahi kuumwa uchungu Ila mtoto alikuwa hasikikitymboni kwa muda mrefu lakini pia alilala upande na sikupata uchungu hata baada ya muda wa kuzaa kufika hivyo madaktari wakashuri nifanyiwe upasuaji kumuokoa mtoto tumboni..
Sa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiache akina shida akikua kinakaa vzr chenyewe kuwa na amani hata mimi mtoto wangu wa kiume alizaliwa alikuwa hivyo hivyo ilq badae kichwa kilikaa vzr tuu chenyewe...
Baada ya muda gani kinakaa vizuri?
Mie ana miaka 4 kipo hivyo hivyo wanasema sikumkanda alipozaliwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amezaliwa hvyohvyo. Sabab inawez kuwa??

1. Cerebral polsy: kwa kitalaam mtoto anazaliw na kichw kama hpo kwenye pcha lakin kweny mikono au miguu nayo inakuwa lelgelege hvi. Sjajua hyo mdogo wetu ni kichwa tu au miguuu na mikono ina changamoto

2. Caput succedenum: hapa kitaalamu mama wakati wa kujifungua uchungu ulichelewa ambapo ikasababisha tatzo linaitwa obstructed labour ambapo mtoto anachelew kutoka tumbon kwa mama hivyo kichwa kinabanw na uke pamoja na mishipa ya uzazi na kupelekea kchwa kuwa cha namna hio. Tatizo hili mtoto waga anapona mwenyew siku5 baada ya kuzaliwa
Hpa mama atakuwa na maelezo kama alipata ttzo la uchungu wakati anajifungua??

3. Cephaloblastoma,: ni tatizo ambalo kichwa cha mtoto hua kianavmba kwasababu kimejawa na damu iliyo vuja kutoka kwenye mishipa ya fuvu . Maana muda mwingine mishipa inapasuka na kumwaga damu sasa ile damu inafanya kuwe na uvimbe kichwani. Tatizo hli mtoto upona nda ya wiki 4 mpka sitabaada ya kuzaliwa

4. Subgaleal haemorrhage: hili ni tatiz kama la 3 ambpo na penyew mishipa ya kichwa ilivuja imesababsha kichwa kucimba. Ila hapa sanasana upande wa paji la uso
Tatzo 2.3.4 yote mtoto upona polepole anapokuwa haiitaji upasuajii.

Matibabu ni ushauri nasaha ilimzazi amlee mtoto wake ili mtoto apate kukua vzur mwili ujengeke vzuri kupamna na tatzo lake. Hakikisha ananyonya vzuri , haugui mara kwa mara . Jitaidia sana hasipate utapiamlo
Bwana mtaalamu mie wangu hakuna sababu hata moja katika ulizotaja...
Mzima wa afya Tena super genius na alizaliwa kwa upasuaji baada ya kuonekana amekaa lateral na sikuugua uchungu hata baada ya mimba kufikia term na kilichosababisha madaktari wanishari upasuaji ni baada ya miezi Tisa kupitia sisikii uchungu, mtoto amelala lateral, lakini pia featal hearts haikuwa ikisikika kwa takribani wiki nzima.

Baadae nikagundua kichwa chake Kiko namna hiyo na Hana shida nyingine yoyote ukiacha utundu uliopitiliza na ule super genius alonao.
Ila natamani kikae sawa wataalamu wananambia nimechelewa ilitakiwa soon walivyomtoa tumboni wangemfanyia massage ya kukanda kichwa fuvu likae sawa hivyo kwa SAA amekomaa tayari niwe mpole tu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natumai wazima wadau. Naomba msaada wa mawazo kichwa cha mwanangu wa miezi 6 kimekaa vibaya kama hapo kwenye picha. Wapi naweza kupata msaada wa kuweka sawa au nini nifanye.

View attachment 2356828
Kibongobongo huwa inatengenezw kama ngata then mtoto kila akilala anakuwa analalalia hiyo ngata ambayo kichwa kinaingia katikati ya ule mviringo wa ngata.... over time kichwa kinakuwa sawa.

Nimeona hivyo maeneo kadhaa hasa kwa maeneo ya pwani ya mwambao wa Bahari ya Hindi!!!
 
Bwana mtaalamu mie wangu hakuna sababu hata moja katika ulizotaja...
Mzima wa afya Tena super genius na alizaliwa kwa upasuaji baada ya kuonekana amekaa lateral na sikuugua uchungu hata baada ya mimba kufikia term na kilichosababisha madaktari wanishari upasuaji ni baada ya miezi Tisa kupitia sisikii uchungu, mtoto amelala lateral, lakini pia featal hearts haikuwa ikisikika kwa takribani wiki nzima.

Baadae nikagundua kichwa chake Kiko namna hiyo na Hana shida nyingine yoyote ukiacha utundu uliopitiliza na ule super genius alonao.
Ila natamani kikae sawa wataalamu wananambia nimechelewa ilitakiwa soon walivyomtoa tumboni wangemfanyia massage ya kukanda kichwa fuvu likae sawa hivyo kwa SAA amekomaa tayari niwe mpole tu.


Sent using Jamii Forums mobile app
Kua karibu na jembe ilo. Make sure ndoto zake zinatimia, muoneoano kitu gani. Kwa 4 years naona angebaki tu ivo ivo.
 
Bwana mtaalamu mie wangu hakuna sababu hata moja katika ulizotaja...
Mzima wa afya Tena super genius na alizaliwa kwa upasuaji baada ya kuonekana amekaa lateral na sikuugua uchungu hata baada ya mimba kufikia term na kilichosababisha madaktari wanishari upasuaji ni baada ya miezi Tisa kupitia sisikii uchungu, mtoto amelala lateral, lakini pia featal hearts haikuwa ikisikika kwa takribani wiki nzima.

Baadae nikagundua kichwa chake Kiko namna hiyo na Hana shida nyingine yoyote ukiacha utundu uliopitiliza na ule super genius alonao.
Ila natamani kikae sawa wataalamu wananambia nimechelewa ilitakiwa soon walivyomtoa tumboni wangemfanyia massage ya kukanda kichwa fuvu likae sawa hivyo kwa SAA amekomaa tayari niwe mpole tu.


Sent using Jamii Forums mobile app
Huenda kuchelewa kwa uchungu miba ilipofika miezi tisa pamoja na foetal heart rate (mapigo ya moyo ya mtoto) kutokusika kwa wiki nzima
Kulipelekea mtoto kudumaa tumboni au interuterine growth restriction(yaan ukuaaji wa mtoto kukinzwa kwa sababu ya hali iliyopo haimuwezeshi kukua na kukaa tumboni vizuri)

. Pia viungo vyote vya mtoto hua vinatengenezwa ndani ya miezi mi 3ya mwanzo. Ko ni mama kuwa makini na magonjwa pamoja na dawa anazomeza kipindi hicho.

Akiwa mkubwa mwili na mifupa ya mtoto waga inakua kwenda kwenye utu uzima. Anaweza kuwa na tatizo likapngua kwa kiasi flani
 
apdate!!!!! hospital ya wahindi nimeenda nimeambiwa nichukue mchanga wa baharini nieke kwenye kitambaa nifanye kaduara kichwa chake kiingie kwenye duara wakati akilala.... nitawapa mrejesho zaidi wadau
 
Pole sana kwa changamoto ya mtoto. Ni sawa kuweka mchanga kama mtoto amefika hatua ya kugeuza shingo unaweza kuweka mchanga lkn ukasababisha sehemu nyingine ipate shida. Wenzetu wazungu huwa wanatumia baby helmets kwa watoto kuanzia miezi 4 hadi sita. Ndo maana vichwa vya watoto wao huwa vya duara. Ingia google searche baby helmets utapata maelezo ya kutosha . Baada ya kupata maelezo na kuona sample unaweza kwenda kwenye maduka makubwa kuangalia kama.unaweza pata. Ila ukitaka kuagiza unaweza ingia wezshop.com.
 
Mke wangu alijifungua mtoto mwenye shida hii lakini yeye sababu ilikuwa ni kumbana mtoto wakati wa kujifungua. Sisi tulikuwa tumeshakata tamaa akaja bibi yetu mmoja akasema ni rahisi kukiweka sawa.

Alikuwa anakikanda kila siku kwa dawa yenye mchanganyiko na asali (kwakwelii sikumbuki ni dawa gani) baada ya siku chache kilirudi kuwa sawa. Sema dogo alikuwa analia sana wakati wa kukandwa, leo hii ana miaka 6 na yuko vizuri kabisa.

Ushauri wangu cheki na wamama watu wazima (waswahili) achana na wamama familia bora huwa watupu kwenye mabo ya asili.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom