Msaada katika kipaji changu hiki, nimekata tamaa

Bin Shaib

JF-Expert Member
Aug 1, 2019
1,315
1,186
Habari ya uzima wapendwa, tumshukuru Mungu kwa kutupa uhai bure, kwa siku nyingine tena imenipendeza kuwaleteeni changamoto hii ambayo naona ipo juu ya uwezo wangu.

Mimi ni kijana mwenye umri 25 years old,nimekulia maeneo ya kijijini, kipaji changu cha uchoraji kiligundulika toka nipo shule ya msingi japo sikuwa naelewa kitu kuhusu kipaji, basi nimeendelea hivyo hadi nikajitambua kuwa nina kipaji na watu kuniambia kuwa nina kipaji hicho.

Nifupishe story, nikaanza kuwachorea watu hapo kijijini nikaanza kufahamika vizuri nami sasa nukatambua kweli hiki ndo kipaji changu nikaanza kuifurahia hiyo kazi yangu.

Changamoto:

Mwaka 2018 nilipata changamoto iliyo nifanya nikatoka nyumbani nikaaingia jijini Mwanza bila kutegemea, so kuanzia hapo kipaji changu kikapoa, ilikuwa kama safari ya dharura so nikakoswa namna ya kuanza na nianzie wapi, bahati nzuri nilifikia kwa anko alikuwa na kazi nikaanza kukomaa nae,, lakini japo nilipata kazi shauku yangu ilikuwa kipaji changu tu,,

Kiufupi :
Mpaka sasa nipo tu nimetulia na kipaji changu hapa Mwanza, huwa nikiona hata picha zilizo chorwa na wenzangu nahamisika sana lakini kuchukua hatua nashindwa.

Ushauri wenu naamini humu wamo wenye kipaji cha uchoraji,

* Je, nianzie wapi wapendwa ili kuendeleza kipaji changu.

* Nitajulikanaje na mimi kama wenzangu.

* Kuna jamaa nilimfata kipindi nafika hapa Mwanza ili anifue alinitema alinikatalia.

* Nahisi umri wangu umeenda kufatilia kipaji changu na kukikuza, je nipo sahihi au nimawazo hasi.

Ushauri wenu utakuwa muhimu sana juu ya kipaji changu, hadi natamani nirudi kinijini nikaendelee huko, labda mambo yatakaa sawa.

Nipo kwenye changamoto ya mawazo, na sijapata kazi rasimi yakuendesha maisha yangu nikipata familia,, kuna kazi ambayo naifanya lakini hainifurahishi na kama sioni future mbele kupitia kazi hiyo.

Wapendwa wachoraji wenzangu mi nipo Mwanza, natamani sana nashindwa nianzie wapi

Nahitaji mentor wakuniongoza ili nifikie malengo yangu, shetani yupo kuharibu mipango na maisha ya watu, kwa changamoto niliyoipata huko kijijini nahisi ndo iliharibu future yangu.

Niishie hapa wapendwa na Mbarikiwe sana.

Bin Shaib Official 2021.
View attachment 2213498View attachment 2213499View attachment 2213500View attachment 2213501
 
Ngoja nikupe siri mkuu, umeandika vizuri ila hayo ni maneno ambayo yeyote anaweza zungumza.

Ungeweka picha ya kazi zako bila maneno mengi ingekuwa rahisi zaidi.

Hushawahi sikia story ya maisha ya Adam Mchovu (mtangazaji clouds)?

Fanya, weka watu waone kinachofuata ni kibali.

Support huwezi kosa kuna watu wana pesa wanatafuta wapi pa kuziweka zikue zaidi ila wanahitaji watu sahihi.

Kiufupi weka kazi zako tuzione mkuu
 
Huna picha ulizokwisha kuchora tuone?

Kama upo vizuri kweli sielewi unakwama wapi.

Sidhani kama kitu kuchora kinahitaji mtaji mkubwa.

Una smartphone bila shaka. Anza kuwa unachora mwenyewe kila uwapo free. Kuwa na account za mitandao ya kijamii. Chora picha za watu mashughuli na kuwatag. Jitangaze humohumo utaweza kuwa unapata tenda za watu wengine.

Mdogo mdogo utaanza kupata connection. Pia pendelea kuchora picha za kiutamaduni ndio zinauzika sana. Za watu binafsi unaweza pia pata na ukapiga hela ndogondogo.

Mengineyo acha wengine waje labda kama sijakuelewa unataka kushikwa mkono vipi.
 
Unakata tamaa wenzio wamesota shule miaka 14 shuleni tena na zaidi leo hii hawana ajira
 
Siyo lazima ung'ang'anie hicho kipaji! Jaribu na shughuli nyingine. Hata sisi wenzako tuna vipaji lukuki! Lakini mwisho wa siku tumeishia tu kuwa walinzi wa Halmashauri! 😇

Wewe vipi bhana! Uko Mwanza unashindwa hata kuuza samaki! Umeng'ang'ania tu kipaji cha uchoraji! Hivi unafahamu teknolojia imerahisisha sana hiyo fani yako?

Yaani kwa sasa ni kuingia tu kwenye mtandao unatafuta maprogram ya kila aina ya graphics na ma designs!! Huna hata sababu ya kuvimba wiki nzima kuchora picha ya mtu.
 
Siyo lazima ung'ang'anie hicho kipaji! Jaribu na shughuli nyingine. Hata sisi wenzako tuna vipaji lukuki! Lakini mwisho wa siku tumeishia tu kuwa walinzi wa Halmashauri! 😇

Wewe vipi bhana! Uko Mwanza unashindwa hata kuuza samaki! Umeng'ang'ania tu kipaji cha uchoraji! Hivi unafahamu teknolojia imerahisisha sana hiyo fani yako?

Yaani kwa sasa ni kuingia tu kwenye mtandao unatafuta maprogram ya kila aina ya graphics na ma designs!! Huna hata sababu ya kuvimba wiki nzima kuchora picha ya mtu.
ndio hapo mkuu, hata programming za coding zinachora picha vizuri
 
Ngoja nikupe siri mkuu, umeandika vizuri ila hayo ni maneno ambayo yeyote anaweza zungumza.

Ungeweka picha ya kazi zako bila maneno mengi ingekuwa rahisi zaidi.

Hushawahi sikia story ya maisha ya Adam Mchovu (mtangazaji clouds)?

Fanya, weka watu waone kinachofuata ni kibali.

Support huwezi kosa kuna watu wana pesa wanatafuta wapi pa kuziweka zikue zaidi ila wanahitaji watu sahihi.

Kiufupi weka kazi zako tuzione mkuu
Nikipiga kuattach files inakataa kwanini
 
Habari ya uzima wapendwa, tumshukuru Mungu kwa kutupa uhai bure, kwa siku nyingine tena imenipendeza kuwaleteeni changamoto hii ambayo naona ipo juu ya uwezo wangu.

Mimi ni kijana mwenye umri 25 years old,nimekulia maeneo ya kijijini, kipaji changu cha uchoraji kiligundulika toka nipo shule ya msingi japo sikuwa naelewa kitu kuhusu kipaji, basi nimeendelea hivyo hadi nikajitambua kuwa nina kipaji na watu kuniambia kuwa nina kipaji hicho.

Nifupishe story, nikaanza kuwachorea watu hapo kijijini nikaanza kufahamika vizuri nami sasa nukatambua kweli hiki ndo kipaji changu nikaanza kuifurahia hiyo kazi yangu.

Changamoto:

Mwaka 2018 nilipata changamoto iliyo nifanya nikatoka nyumbani nikaaingia jijini Mwanza bila kutegemea, so kuanzia hapo kipaji changu kikapoa, ilikuwa kama safari ya dharura so nikakoswa namna ya kuanza na nianzie wapi, bahati nzuri nilifikia kwa anko alikuwa na kazi nikaanza kukomaa nae,, lakini japo nilipata kazi shauku yangu ilikuwa kipaji changu tu,,

Kiufupi :
Mpaka sasa nipo tu nimetulia na kipaji changu hapa Mwanza, huwa nikiona hata picha zilizo chorwa na wenzangu nahamisika sana lakini kuchukua hatua nashindwa.

Ushauri wenu naamini humu wamo wenye kipaji cha uchoraji,

* Je, nianzie wapi wapendwa ili kuendeleza kipaji changu.

* Nitajulikanaje na mimi kama wenzangu.

* Kuna jamaa nilimfata kipindi nafika hapa Mwanza ili anifue alinitema alinikatalia.

* Nahisi umri wangu umeenda kufatilia kipaji changu na kukikuza, je nipo sahihi au nimawazo hasi.

Ushauri wenu utakuwa muhimu sana juu ya kipaji changu, hadi natamani nirudi kinijini nikaendelee huko, labda mambo yatakaa sawa.

Nipo kwenye changamoto ya mawazo, na sijapata kazi rasimi yakuendesha maisha yangu nikipata familia,, kuna kazi ambayo naifanya lakini hainifurahishi na kama sioni future mbele kupitia kazi hiyo.

Wapendwa wachoraji wenzangu mi nipo Mwanza, natamani sana nashindwa nianzie wapi

Nahitaji mentor wakuniongoza ili nifikie malengo yangu, shetani yupo kuharibu mipango na maisha ya watu, kwa changamoto niliyoipata huko kijijini nahisi ndo iliharibu future yangu.

Niishie hapa wapendwa na Mbarikiwe sana.

Bin Shaib Official 2021.
Jiendeleze wewe mwenyewe kupitia mafunzo ya mtandaoni
Mbona siku hizi kujifunza rahisi sana
 
Siyo lazima ung'ang'anie hicho kipaji! Jaribu na shughuli nyingine. Hata sisi wenzako tuna vipaji lukuki! Lakini mwisho wa siku tumeishia tu kuwa walinzi wa Halmashauri! 😇

Wewe vipi bhana! Uko Mwanza unashindwa hata kuuza samaki! Umeng'ang'ania tu kipaji cha uchoraji! Hivi unafahamu teknolojia imerahisisha sana hiyo fani yako?

Yaani kwa sasa ni kuingia tu kwenye mtandao unatafuta maprogram ya kila aina ya graphics na ma designs!! Huna hata sababu ya kuvimba wiki nzima kuchora picha ya mtu.

Mkuu pamoja na kwamba umemchana jamaa laivu, ila una hoja ya msingi.

Kibongo bongo kuna vipaji ambavyo ukijidai kukomaa navyo bila kufanya mishe nyingine utaishia kuishi maisha magumu sana kwani ni kama vile watu hawavipi kipaumbele. Na pia kama wadau wanavyosema, teknolojia pia imerahisisha baadi ya vitu kiasi kwamba tofauti ya mwenye kipaji cha kuchora na yule anae edit picha kwa photoshop na ku print inakua haipo.
 
Habari ya uzima wapendwa, tumshukuru Mungu kwa kutupa uhai bure, kwa siku nyingine tena imenipendeza kuwaleteeni changamoto hii ambayo naona ipo juu ya uwezo wangu.

Mimi ni kijana mwenye umri 25 years old,nimekulia maeneo ya kijijini, kipaji changu cha uchoraji kiligundulika toka nipo shule ya msingi japo sikuwa naelewa kitu kuhusu kipaji, basi nimeendelea hivyo hadi nikajitambua kuwa nina kipaji na watu kuniambia kuwa nina kipaji hicho.

Nifupishe story, nikaanza kuwachorea watu hapo kijijini nikaanza kufahamika vizuri nami sasa nukatambua kweli hiki ndo kipaji changu nikaanza kuifurahia hiyo kazi yangu.

Changamoto:

Mwaka 2018 nilipata changamoto iliyo nifanya nikatoka nyumbani nikaaingia jijini Mwanza bila kutegemea, so kuanzia hapo kipaji changu kikapoa, ilikuwa kama safari ya dharura so nikakoswa namna ya kuanza na nianzie wapi, bahati nzuri nilifikia kwa anko alikuwa na kazi nikaanza kukomaa nae,, lakini japo nilipata kazi shauku yangu ilikuwa kipaji changu tu,,

Kiufupi :
Mpaka sasa nipo tu nimetulia na kipaji changu hapa Mwanza, huwa nikiona hata picha zilizo chorwa na wenzangu nahamisika sana lakini kuchukua hatua nashindwa.

Ushauri wenu naamini humu wamo wenye kipaji cha uchoraji,

* Je, nianzie wapi wapendwa ili kuendeleza kipaji changu.

* Nitajulikanaje na mimi kama wenzangu.

* Kuna jamaa nilimfata kipindi nafika hapa Mwanza ili anifue alinitema alinikatalia.

* Nahisi umri wangu umeenda kufatilia kipaji changu na kukikuza, je nipo sahihi au nimawazo hasi.

Ushauri wenu utakuwa muhimu sana juu ya kipaji changu, hadi natamani nirudi kinijini nikaendelee huko, labda mambo yatakaa sawa.

Nipo kwenye changamoto ya mawazo, na sijapata kazi rasimi yakuendesha maisha yangu nikipata familia,, kuna kazi ambayo naifanya lakini hainifurahishi na kama sioni future mbele kupitia kazi hiyo.

Wapendwa wachoraji wenzangu mi nipo Mwanza, natamani sana nashindwa nianzie wapi

Nahitaji mentor wakuniongoza ili nifikie malengo yangu, shetani yupo kuharibu mipango na maisha ya watu, kwa changamoto niliyoipata huko kijijini nahisi ndo iliharibu future yangu.

Niishie hapa wapendwa na Mbarikiwe sana.

Bin Shaib Official 2021.
Tutakushaur Nini umeshindwa hata kuonyesha picha moja ulio chora sisi ndio tutakuambia Kama unakipaji sio ww
 
“penda unachofanya na si kufanya unachopenda”

Tafuta mishe moja unayoona ina pesa nyingi komaa nayo, ifanye na ipende...people looking for money not passion, looks where is money create passion there.

Hakuna raha/passion yoyote kufanya kazi machimbo but watu wameona wameiona pesa huko wakapapenda na kutengeneza passion kuwa huko sio walianza kuangalia passion walianza kuangalia pesa.

Kuchora na kuogerea passion hizo ni takataka Tz you will end up poor for ever.

Tafuta kitu kimoja hapa just funze, kipende kiwe Passion yako
*Kilimo&Ufugaji
*Technology
*Biashara i.e kariakoo
*Financial market
*Digital Marketing
 
Habari ya uzima wapendwa, tumshukuru Mungu kwa kutupa uhai bure, kwa siku nyingine tena imenipendeza kuwaleteeni changamoto hii ambayo naona ipo juu ya uwezo wangu.

Mimi ni kijana mwenye umri 25 years old,nimekulia maeneo ya kijijini, kipaji changu cha uchoraji kiligundulika toka nipo shule ya msingi japo sikuwa naelewa kitu kuhusu kipaji, basi nimeendelea hivyo hadi nikajitambua kuwa nina kipaji na watu kuniambia kuwa nina kipaji hicho.

Nifupishe story, nikaanza kuwachorea watu hapo kijijini nikaanza kufahamika vizuri nami sasa nukatambua kweli hiki ndo kipaji changu nikaanza kuifurahia hiyo kazi yangu.

Changamoto:
Mwaka 2018 nilipata changamoto iliyo nifanya nikatoka nyumbani nikaaingia jijini Mwanza bila kutegemea, so kuanzia hapo kipaji changu kikapoa, ilikuwa kama safari ya dharura so nikakoswa namna ya kuanza na nianzie wapi, bahati nzuri nilifikia kwa anko alikuwa na kazi nikaanza kukomaa nae,, lakini japo nilipata kazi shauku yangu ilikuwa kipaji changu tu,,

Kiufupi :
Mpaka sasa nipo tu nimetulia na kipaji changu hapa Mwanza, huwa nikiona hata picha zilizo chorwa na wenzangu nahamisika sana lakini kuchukua hatua nashindwa.

Ushauri wenu naamini humu wamo wenye kipaji cha uchoraji,

* Je, nianzie wapi wapendwa ili kuendeleza kipaji changu.

* Nitajulikanaje na mimi kama wenzangu.

* Kuna jamaa nilimfata kipindi nafika hapa Mwanza ili anifue alinitema alinikatalia.

* Nahisi umri wangu umeenda kufatilia kipaji changu na kukikuza, je nipo sahihi au nimawazo hasi.

Ushauri wenu utakuwa muhimu sana juu ya kipaji changu, hadi natamani nirudi kinijini nikaendelee huko, labda mambo yatakaa sawa.

Nipo kwenye changamoto ya mawazo, na sijapata kazi rasimi yakuendesha maisha yangu nikipata familia,, kuna kazi ambayo naifanya lakini hainifurahishi na kama sioni future mbele kupitia kazi hiyo.

Wapendwa wachoraji wenzangu mi nipo Mwanza, natamani sana nashindwa nianzie wapi

Nahitaji mentor wakuniongoza ili nifikie malengo yangu, shetani yupo kuharibu mipango na maisha ya watu, kwa changamoto niliyoipata huko kijijini nahisi ndo iliharibu future yangu.

Niishie hapa wapendwa na Mbarikiwe sana.

Bin Shaib Official 2021.
Ndugu yangu..hongera kwa kujua kipaji chako..wengi bado tunasota kujua kitu gani hasa tumeumbiwa na mwenyezi mungu. Nakutia moyo hujachelewa!

Nakushauri uanze mdogo mdogo...kwa kuwa unakibarua kinachoweza kukupa mtaji wa rangi na vifaa vingine..anza kununua vifaa taratibu...huku ukianza kuwaza picha za kuchora..na ukiweza weka picho hizo katika karatasi usije sahau..vifaa vikitimia..chora moja uza...angalia upepo wa biashara unaendaje..unachora nyingine hivyo hivyo.
Wapo watu walitajirika uzeeni baada ya kujua wanavipaji..wewe hata hujachelewa...usikate tamaa!
 
Back
Top Bottom