likandambwasada
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,402
- 6,072
EITHER WAY
Mkifa mtajua
Mkifa mtajua
Nikitaka kuongeza mke wa pili au kumlima talaka inakuweje hapo?Kama wote wamesilimu hawafungi tena ndoa wallahu Aalam!
Sasa kama hili suala mmelifanya ni debate je unategemea kusiwepo majibu tofauti?Hii debate haijapata mjuvi wa kisheria akatufungua.
Maana kumekuwa na makundi mawili bishani! Pia mjadala umeegemea kubadili na kuingia uislam, hakuna popote mjuvi amedadavua kuhusu muislam kwenda ukristu hasa ukatoliki.
Wanajamvi tupate mjuzi hasa wa sheria za ndoa atuondolee kitendawili fikirishi hiki.
Usitoe fat'wa katika dini km jambo huna Elimu nalo. Kukaa kimya ni bora zaidNdugu yangu unapoizungumzia ndoa unazungumzia jambo la kutekeleza amri ya mungu,hakuna ndoa ya serikali.
Huwezi kukurupuka ukasema ndoa dini inapewa baraka na serikali!!!!huna dini wewe.ndoa hufungwa kidini ktk kutimiza agizo la mungu na kuacha katazo lake la zinaa.hivyo veti vimekuja miaka kadhaa baada ya Uhuru na ndoa zilikuwepo before.tunapewa vyeti kuthibitisha ndoa baada ya changamoto kuzidi kwny ndoa ikiwemo ya wanandoa kukanana.
Wanandoa wasio waislam wanaposilimu na kuwa waislam ndoa yao wataifunga upya sababu ndoa hiyo ya awali ilikua nje ya uislam.
Nje ya uislamu ndoa hiyo ni batili sababu kuna nguzo za ndoa ya kiislam lzm zifuatwe na nje ya uislam wana njia zao pia.
Kinachorudiwa upya ni ndoa si harusi.
Nauliza kwani wakati wa kufungusha ndoa hizi nguzo tano ni sehemu ya maneno yanayotumika? Mimi nafikiri nguzo hizo zinatumika ktk procedure za kusilimisha ......***Kama wameingia Kwenye uislam na kuwa waislam jina basi cheti cha serikali kitawafaa zaidi
***Lakini Kama wameingia Kwenye uislam na kutaka kuwa waumini bora wakislam na kutaka kufata nguzo tano za kiislam
1) Shahada ya Imani
Ushahidi wa Imani ni kusema kwa kusadikisha, “La ilaaha illAllaah, Muhammadur Rasulullah.” “Hapana mola apasaye kuabudiwa kwa haki isipokuwa Mwenyezi Mungu (Allaah), na kwamba Muhammad ni Mjumbe (Mtume) wa Mwenyezi Mungu.”
2) Swalah (kuswali Swala tano)
Waislamu huswali Swalah tano kila siku. Kila Swalah huchukuwa muda mfupi wa dakika chache tu.
3) Kutoa Zakaah (Kuwakunjulia Wenye Dhiki):
4) Kufunga katika Mwezi wa Ramadhaan Kila mwaka katika mwezi wa Ramadhani.
5) Kuhiji Makkah.
Itawapasa wafunge ndoa upya ya kiislam Ili wapate kuzitimiza hizi nguzo tano za kiislam
Wewe ukapimwe mkojo.Kinachohalalisha ndoa Ni cheti.
Cheti Ni Cha Serikali.
Iwe Ni Muislamu au mkristo Cheti Ni kile kile.
Cheti kinatolewa kwasababu tu ya mambo ya mirathi, kugawana Mali pindi wanandoa wanapotalakiana, sheria Lazima iingilie Kati Ukikosoa cheti cha ndoa unaweza Kosa Haki Yako ni km ushahidi tu.Kinachohalalisha ndoa Ni cheti.
Cheti Ni Cha Serikali.
Iwe Ni Muislamu au mkristo Cheti Ni kile kile.
Nauliza kwani wakati wa kufungusha ndoa hizi nguzo tano ni sehemu ya maneno yanayotumika? Mimi nafikiri nguzo hizo zinatumika ktk procedure za kusilimisha ......
Mkuu kwa sheria ipi hiyo labda utudadavulieKwa sheria ilivyo kama walikuwa na ndoa ya kikristo hapo hawana haja ya kufunga ndoa tena.
Wataendelea kuwa na ndoa ile Ile
Calm down!Wewe ukapimwe mkojo.
Hujaoa wala huna dini na huna ulijualo labda bado mtoto ama uzwazwa umekujaa.
Kinachohalalisha ndoa ni cheti????wewe nahisi ni mtu toka kuzimu au bichwa box
Ndoa ni nini? ni ibada ya muunganiko wa pande mbili mke na mume. muunganiko huu hutokana na ridhaa zao na watu wao wa karibu(wazazi). kwa maana Baba wa mke inabidi akukabidhi binti yake kwa ridhaa yake kwa njia ya kiapo na huyo binti akubali hiko kitendo na mume nae akubali kukabidhiwa aktika kukubali kwao ni lazima kuwe na mashahidi wanaoshuhudia watu hao wakikubali. Kwa hiyo mmoja kati ya hao (mke,mume,baba) akikataa hapo ndoa haiwezi fungwa. nikirejea mada hapo juu ndoa haiwezi fungwa tena kwa sababu wote 3 walikuwa na wako willing na tukio hilo, ila akisilimu mmoja let's say mume inamaana willingness haipo tena kwa mke na baba ake hivyo no ndoa."Eti, ikitokea watu wawili wamefunga ndoa ya KIKRISTO pindi wakiwa wakristo, halafu baada ya muda wote wawili wakaamua kuslimu na kuwa waislamu. Je watafunga tena ndoa ya kiislamu?
Darasa huru, huu mjadala nimeukuta mahali katika pitapita zangu ila sijfanikiwa kupata jibu... Kama hujui like tu kisha pita soma maoni ya watu na ww utajifunza kitu.
Mtu anayefungia ndoa kanisani,msikitini au bomani wote wanasaini cheti kile kile Cha ndoa.Mkuu hicho Cheti kinahalalisha ndoa kwa mujibu wa nani? Kama Cheti ndo kinahalalisha Ndoa, Kanisani kinachofanyika ni nn?
Sawa kabisa hayo yanafanyika ili kupatikane uhalali wa Kisheria na kutambulika katika ngazi za Kiserikali.Mtu anayefungia ndoa kanisani,msikitini au bomani wote wanasaini cheti kile kile Cha ndoa.
Tofauti Ni kwamba Mkristo anasaini box la ndoa ya Mke Mmoja,na mwislamu anasaini ndoa ya wake wengi.
Baada ya kusilimu unaruhusiwa kuongeza mke mpaka wanne ikiwa Una uwezo na hivyo hivyo msipoelewana mtafuata taratibu za talaka wallahu Aalam!Nikitaka kuongeza mke wa pili au kumlima talaka inakuweje hapo?
Wakati ndoa tulifunga kanisani!
katika ukristo hao itabidi wafunge tena ndoa ktk misingi ya kikristo, yale yote yaliyofanyika wakati wa ndoa yao ya kislamu huesabika ni dhinaa na itawapasa kutubia zambi zaoSawa kabisa hayo yanafanyika ili kupatikane uhalali wa Kisheria na kutambulika katika ngazi za Kiserikali.
Je,Kiimani uhalali wa ndoa ni upi? Na je kwa Imani ya Ukristo, Wanandoa Wakiislamu wakibadili dini kuwa Wakristo ndoa yao inaeendelea kama awali au itabidi wafunge ndoa upya?