Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Wakuu.
Kaka yangu ni kichaa fulani, alikula msuba(bangi) nyingi sana zamani,mm nikiwa mdogo ,bila kazi ya kipato.
Kaka yangu ni nguzo ya Taifa na ni msaada mkubwa sana.
Nifanyeje kumtibu?Kama kuna dawa au chochote naomba niambiwe. Siwezi kumwacha kaka.
Asante.
Kaka yangu ni kichaa fulani, alikula msuba(bangi) nyingi sana zamani,mm nikiwa mdogo ,bila kazi ya kipato.
Kaka yangu ni nguzo ya Taifa na ni msaada mkubwa sana.
Nifanyeje kumtibu?Kama kuna dawa au chochote naomba niambiwe. Siwezi kumwacha kaka.
Asante.