MT255
JF-Expert Member
- May 3, 2012
- 3,729
- 4,999
Utafungwa...hivi unajua Kama ulichokiandika hapa Ni ushahidi Tosha wa kukupeleka Mahakamani?Natafuta kadi ya gari BMW X5 kwa mtu ambaye gari ilipata ajali (haitengenezeki). Katika pitapita yangu nimekuta yard flani kuna gari BMW X5 inauzwa bei ya kutupwa ila haina kadi wala document yoyote. Muuzaji katoa sharti kuwa ili aiuze lazima uende na kadi ya Gari husika.
Msaada tafafhali.
Ni gari nzuri sana hata ukiona hutapenda kuiacha.
Napokea na ushauri pia.