Msaada juu ya wazo la kuandika vitabu vidogo(kama pumphet hiv)

konhokibopa

Member
Aug 22, 2016
54
34
Heshima kwenu wanajamvi pia polen kwa uchovu wa majukum ya kila siku.....

Mi ni kijana mwnye shahada ya ualimu in 2016 katik chuo kimoja wapo hapa TZ na pia Geography na history ni teaching subjects zang ila navutiwa zaid na kufundish GEOS
Hivyo bas kwa kutambua changamoto nilizowahi kuzipitia katik uanafunzi wangu na nyingne ambzo naona bdo zipo nimegundua kuwepo kwa baadhi ya topics katik somo la Geography zilikua zikinksumbua na bado zinawasumbua wanafunz mfano( CLIMATOLOGY) Na nyingine nyingi kwa ordinary level hivyo kwa ujuz nilioupata katk miaka yote ya elimu yang mbaka nilipofikia ni imani yang na ninadhati ya kuviandaa vijitabu ambavyo vitakua vinahusisha mfumo wa topic moja moja hasa katika lugha rahis inayoelewek vizur na kumvutia mwanafunz yule mwenye juhud na hata asie na juhud sana katik kukisoma kijitabu hicho na kujiongezea mahalifa kwan nitaviuza kwa bei rafiki kbsa kwa wanafunz waliopo mashuleni,resetters,wale QTS n.k

Hivyo kwa yeyote mwnye ujuzi au ushaur juu ya wazo hili naomba anifungue macho na kuniongezea uelewa ili niweze kuitumia taaluma yangu vizur katk kuwasaidia wanafunz ambao bado wanataman kufikia level za juu kielimu lakin pia kujiinua binafsi kiuwezo wa kumudu gharama za maisha!!!! Ahsanteni
 
Andika draft halafu uweke ili watu wafahamu wanakusaidia vp , maana haujaonyesha hasa ni msaada wa aina gani.
 
Andika draft halafu uweke ili watu wafahamu wanakusaidia vp , maana haujaonyesha hasa ni msaada wa aina gani.
Msaada hasa ni kujua kutoka kwa wajuz Caz am sure wapo walimu humu na yawzkn wapo waliowah kuwa na wazo km hili au pia waliothubutu hta kulifanyia biashara wazo km hili.....Mf kujua topics gan ni shida hasa kwa wanafunz ukiachana labda na climatology....lakin pia physical wengi ni wavivu wa kuisoma may b kutokna na ufundshji au ht lugha ya vitabuni kutia uvivu kuisoma...
Na pia nahtj kushauriwa je mfumo huu naofikilia kuutumia wa kuanda kwa topic moja moja ni mzur kiasi gan au unachangamoto kiasi gan
Na IPI ni njia nzur hasa ya kuitumia ili kuwa na kijitabu chenye content ya kutosha ila kidgo kwa umbo
 
Bro hapo ni map skills, climatology, water mases, n research if possible survey
 
Hakuna jipya chini ya jua, kama vitini(madesa), reviews nk. zipo nyingi. Inatakiwa uwe mbunifu zaidi Mf. THL wao waliona kila mtu anaweza kumiliki simu hata vijijin ambako hakuna BOOKSHOPS wakaja kwa mfumo wa ONLINE japo mambo ni yaleyale ya kwenye reviews. Kama unataka kuandika matini kwa ajili ya wanafunz yakupasa ubuni njia mbadala kama ni kuchimba zaid ya matin zilizopo uchimbe haswa ili mtu akisoma akupe heko la sivyo...
 
Hakuna jipya chini ya jua, kama vitini(madesa), reviews nk. zipo nyingi. Inatakiwa uwe mbunifu zaidi Mf. THL wao waliona kila mtu anaweza kumiliki simu hata vijijin ambako hakuna BOOKSHOPS wakaja kwa mfumo wa ONLINE japo mambo ni yaleyale ya kwenye reviews. Kama unataka kuandika matini kwa ajili ya wanafunz yakupasa ubuni njia mbadala kama ni kuchimba zaid ya matin zilizopo uchimbe haswa ili mtu akisoma akupe heko la sivyo...
I know brother currently nothing z new...thanks for your point that I have to make up a very strong writing in my project en the only way to make the difference from the other writings is by reading a couple of materials so as to improve my content from the old one contents
And so am not rushing Caz by so doing I Wont seem to be new/different from the other...natulia nifanyie kaz idea yangu pole pole tu hiv vituuu one dei itakua fresh

Ahsante kwa ushaur brother
 
Nakushauri ujipime kwanza kama unauwezo kweli au unataka pesa because mtu anayeshindwa kuandika Pamphlet anaandika pumphet ataandikaje kitabu?
 
Nakushauri ujipime kwanza kama unauwezo kweli au unataka pesa because mtu anayeshindwa kuandika Pamphlet anaandika pumphet ataandikaje kitabu?
Nashukuru umeelewa hyo ni typing error tu ndgu kupitiwa kupo....but I wonder Mimi mejisahau kwa pamphlet ila umenielewa sas wew unaeshindwa hat kuandik jina lako na kuweka mvuvi duuh pole sana ndg...

Ila thanks mi ntajitafakar zaid Caz nshafanya hivo
 
Back
Top Bottom