Msaada juu ya vifurushi vya tigo

Msaada juu ya vifurushi vya tigo

LEGE

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2011
Posts
5,122
Reaction score
9,223
Naomba kuwauliza wadau hili tatizo la vifurushi vya tigo ni kwangu 2 au? Toka ijumaa mpaka sasa kila nikijaribu kununua vifurush vya tigo net wananipa msg hii 'sorry you can not activate another packege when one packege is already activated'

chakushangaza nimei2mia kama siku 3 hv bure.Huku nikiwa na sh 0.00

ubaya muda mwingine inagoma kbs kufungua net nikiweka hela inakubali nikitaka kununua kifurush inagoma na kunipa sms hiyo.

Je tatizo ni nin?
Kama kunayeyote amewahi patwa na hili msaada plz alilitatuaje?
 
Hamia Airtel achana na Tigo wazushi tu hao.Hata mimi ilinizingua mwanzo nikaiingizia code nikaanza kuitumia kwa line ya airtel.Kwa sasa mambo safi,ndiyo naitumia kuandika hapa.:flame:
 
Back
Top Bottom