Mzee Saliboko
JF-Expert Member
- Jan 29, 2018
- 1,325
- 1,034
by experience kuna namna mbili za kuhama ya kwanza ni lazima usome mwaka mmoja chuo walichokuchagua ndo uhame na matokeo yako for the same programme. ya pili chukua admission ya chuo usichokitaka nenda nayo chuo unachokitaka watakupa fomu utajaza after few day majina yatatoka