pitbull
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 592
- 178
Habari za saa hizi,
Wadau ninaomba msaada kwenu kwa wenye uzoefu juu ya hii kitu inayoitwa digital sim nimenunua simu Iphone 11 dual sim baada ya simu kunifikia nikagundua kwenye tray ya kuweka simu hamna sehem ya kuweka line ya pili lakini ina emai mbili na kwenye settings inaonesha kuna sehem ya primary sim na digital sim baada ya kuuliza nimeambiwa kuna kitu ina inaitwa digital sim ambayo inatolewa na mtandao wako bila kuhusisha physical sim card naomba msaada wadau kama huduma iyo inapatikana hapa Tanzania coz the phone is bit expensive than ya single sim
Wadau ninaomba msaada kwenu kwa wenye uzoefu juu ya hii kitu inayoitwa digital sim nimenunua simu Iphone 11 dual sim baada ya simu kunifikia nikagundua kwenye tray ya kuweka simu hamna sehem ya kuweka line ya pili lakini ina emai mbili na kwenye settings inaonesha kuna sehem ya primary sim na digital sim baada ya kuuliza nimeambiwa kuna kitu ina inaitwa digital sim ambayo inatolewa na mtandao wako bila kuhusisha physical sim card naomba msaada wadau kama huduma iyo inapatikana hapa Tanzania coz the phone is bit expensive than ya single sim