Familia yenu ina walakini kidogo, kaka yako kuishi kwako yan kwa shemejie, Hii kiafrica ni aibu sana, Bado analeta wake zake anawagongea hapo hapo, sasa katekwa na jimama kamleta hapo na anataka kufuga kuku heheheheee kasheshe, mama yako nae anakuja hapo huyo mume atakukimbia best, aisee Hii Kali pole sana, timua kaka yako huyo