racka98
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 1,041
- 1,530
Why? "internet" inafanya kazi siku zoteAPN ni b_internet
Why? "internet" inafanya kazi siku zoteAPN ni b_internet
Mkuu umefanyaje maana hata mimi ninayo simu yangu ya Samsang S1 haiwezi kuunga hotspot? Hebu tugawiwe hayo maujanja.dah nimepata ufumbuzi kaka shida ilikua line ila sio mchezo kwakweli
Kivipi mkuu? Hebu toa maelezo ninakiri.Hata kwa android zipo simu za hivi hasa refurb za USA, sema kwa android unaweza bypass kupitia apps.
Kuna apps kama pdanet unaweka kwenye simu na pc inatengeneza njia nyengine kabisa ya kutengeneza Hotspot.Kivipi mkuu? Hebu toa maelezo ninakiri.
Sawa naweza kuipata wapi niweke kwenye laptop yangu?Kuna apps kama pdanet unaweka kwenye simu na pc inatengeneza njia nyengine kabisa ya kutengeneza Hotspot.
Pia ipo app kama wifi control ambayo hubypass carrier Hotspot kwa baadhi ya simu.
Pda net pc na apk unazipata hapaSawa naweza kuipata wapi niweke kwenye laptop yangu?
Asante sana mkuu Chief-Mkwawa , ngoja nizipakue nianze kutililika.