Msaada juu ya hifony

Msaada juu ya hifony

MOLAM

Senior Member
Joined
Oct 12, 2013
Posts
141
Reaction score
20
Wakuu nimatumaini yangu kuwa mkowazima wa afya njema. Mimi natumia huawei y530 ambayo nimeiroot kwakutumia kingroot na nimedowload hifont ila kila nikichagua font niipendayo inakataa kureboot ili iwe imebadilisha font, Msaada wa kuu natanguliza shukrani zangu
 
OK mkuu ifont nimejaribu lakini bado mtindo ni huohuo
Basi jaribu ku install xposed framework kwanza kisha utaweka ifont kweny module then jaribu ku apply font zako
 
Jamani mwenye link ya xposed frameeork anisaidie nimeshindwa kudownload
 
Back
Top Bottom