Mwiyuzi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2011
- 854
- 447
Habari za jioni wanajamvi
Naomba ushauri juu ya aina ya laptop ya kununua ikiwa nina laki sita mkononi kwa ajili ya laptop.
Nimejaribu kuzunguka nikakuta kuna laptop aina ya samsung ambayo ni laki tano na tisini na tisa 5990000 mlimani city na nikaenda posta na kuona laptop ya toshiba ni 580,000.
Sasa je kati ya SAMSUNG na TOSHIBA ipi ni nzuri zaidi?
Naombeni ushauri
Naomba ushauri juu ya aina ya laptop ya kununua ikiwa nina laki sita mkononi kwa ajili ya laptop.
Nimejaribu kuzunguka nikakuta kuna laptop aina ya samsung ambayo ni laki tano na tisini na tisa 5990000 mlimani city na nikaenda posta na kuona laptop ya toshiba ni 580,000.
Sasa je kati ya SAMSUNG na TOSHIBA ipi ni nzuri zaidi?
Naombeni ushauri