msaada jinsi ya kuwasha 3g kwenye samsung galaxy s3

dgratius

JF-Expert Member
Mar 10, 2012
218
11
nimepata simu ya galaxs3 ila inadisplay edge mda wote naomben msaada jinsi gan ya ku activate 3g data.. maana simu zingine zilizopo eneo hili zinakamata 3g vizuri tu thanks guys
 
nimegoogle mkuu hii s3 haina option ya network mode kama ulivyotaja hapo juu
 
Toleo la 2 ndo halina 3g? Mie najua s3 zote zina 3g labda upate li clone lenye 2g tu
 
nimepata simu ya galaxs3 ila inadisplay edge mda wote naomben msaada jinsi gan ya ku activate 3g data.. maana simu zingine zilizopo eneo hili zinakamata 3g vizuri tu thanks guys

Jaribu kubadili settings za internet, nenda Setting >> Mobile networks >> Access point name af i-edit, kwenye name andika tigo/vodacom WEB na sio tigo/vodacom WAP kama ipo hivyo (andika jina moja la mtandao unaotumia) , >>> APN andika internet >>> Proxy kama kuna namba namba zifute zote >>> Bearer weka unspecified mwisho save.
 
  1. Go to Settings.
  2. Select "Data Usage" (more. ..).
  3. Select "Mobile Network".
  4. Select "Network Mode".
  5. Choose the CDMA setting.
  6. Done. Now your phone will connect to 3G only.
kwa msaada wa google Inside Galaxy: Samsung Galaxy S3: How to Turn Off and Turn On 4G LTE
tusiwe wavivu muda uliotumia kuuliza hapa unge google ungeshapata jibu


Naona hata mimi nina tatizo lilofanana na huyu ndugu.

Nimenunua LG P769 ina sehemu ya kuwasha 2g, ukiizima 2g inasoma 4g.

Labda na mimi nifanyeje ili kuipata 3g?
 
nimechunguza wadau..ila hii simu sio clone ni original sema chief mkwawa ameniambia inaweza ikawa inatumia custom rom naombeni msaada jinsi ya kuirudisha iyo option ya network mode..maana hapa nimeharibu ku tumia zile code za *#*#4636#*#* lakin bado haibadiliki please naomben msaada
 
Kuna uwezekano simu zenu ni North Amercan versions. Niliwahi kuwa na simu kutoka at&t ambayo haikushika 3G kutokana na Network bandz za hapa Tz kushindwa kuoperate kwenye at&t phone.
 
Kuna uwezekano simu zenu ni North Amercan versions. Niliwahi kuwa na simu kutoka at&t ambayo haikushika 3G kutokana na Network bandz za hapa Tz kushindwa kuoperate kwenye at&t phone.


Hii simu yangu ni LG kwa pembeni imeandikwa T-Mobile hata ukiwasha inaandika t-mobile 4g
 
T.Mobile ni service provider ambao wanatoa GSM UMTS na LTE. T Mobile ina headquarters US na Europe. Kuna radio frequency ambazo ndizo zinakufanya ujue kama simu ni US ama European version. Simu yako wewe inaoperate 3G kwenye kati ya frequency za 1700mHz mpaka 2100mHz. Na kwa maelezo ya Wikipedia hizo 3G radio frequency ni za US version T Mobile pekee. Ina maana ungekuwa upo US ukawa unatumia mtandao wa TMobile ungepata 3G ya uhakika. Hiyo simu yako ingekuwa ni European version ungefaidi 3G. Hilo ndiyo la muhimu kwenye kuangalia hizo simu.
 
T.Mobile ni service provider ambao wanatoa GSM UMTS na LTE. T Mobile ina headquarters US na Europe. Kuna radio frequency ambazo ndizo zinakufanya ujue kama simu ni US ama European version. Simu yako wewe inaoperate 3G kwenye kati ya frequency za 1700mHz mpaka 2100mHz. Na kwa maelezo ya Wikipedia hizo 3G radio frequency ni za US version T Mobile pekee. Ina maana ungekuwa upo US ukawa unatumia mtandao wa TMobile ungepata 3G ya uhakika. Hiyo simu yako ingekuwa ni European version ungefaidi 3G. Hilo ndiyo la muhimu kwenye kuangalia hizo simu.


Labda ningependa kujua hii simu kwa mazingira yetu ya Tanzania itanifaa hususani huku mikoani(Dodoma)
 
Kuna uwezekano simu zenu ni North Amercan versions. Niliwahi kuwa na simu kutoka at&t ambayo haikushika 3G kutokana na Network bandz za hapa Tz kushindwa kuoperate kwenye at&t phone.
A.DREAMER na kuhamisha kidogo, yangu ni SII 19100 ,tatizo liko kweny kupata huduma za WI-FI ,ina scan vizuri tu ila nikijaribu ku connect (baada ya kusuply pass word ) ina display kwa kujirudiarudia "connecting....secured,save,authenticating .."hapo ndio mwisho wa habari .
Nini tatizo na dawa yake ni ipi?
Natanguliza shukrani
 
model no gt-i9300
android version 4.3
baseband version I9300ZSDLL1
kernel version
3.0.31- 2024954
build number
JSS15J.I9300UCUEMJB
mkuu hizo ndo info kwenye about device ya hii simu je
hapo nawezaje irudisha 3g network
 
Back
Top Bottom