Unatumia Samsung Kuna ujumbe wako

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Apr 28, 2020
445
754
๐—จ๐—ป๐—ฎ๐˜๐˜‚๐—บ๐—ถ๐—ฎ ๐—ฆ๐—ฎ๐—บ๐˜€๐˜‚๐—ป๐—ด

Kama unatumia Samsung Kuna ujumbe wako muhimu sana kwa usalama wa data Zako ? Leo nakufunza jambo muhimu la kufanya ili kuwa salama.

Inawezekana umepeleka simu kwa fundi alafu utaki taarifa zile Zako nyeti zisambae utafanyaje? Unajua Kuna wakati unaweza peleka simu kwa fundi akutengeneze ila kuna vitu vya siri upendi fundi havijue kukuhusu wewe.

Kuna baadhi ya fundi ufikia hatua mpaka kupekua pekua simu kutaka kujua kilichopo ndani ? Relax Samsung Wana feature inaitwa maintenance mode unaijua?

Najua wengi ndo mnaisikia hii !! Maintenance mode ni feature iliyoletwa kwenye simu za Samsung ili kulinda data Zako wakati simu yako Iko kwa fundi inafanyiwa malekebisho kadhaa.

Feature hii inakusaidia kuweza kuficha data Zako zisionekane kwa fundi yoyote yule atakayeshika simu yako wakati anaitengeneza. Sio lazima u format simu yako hapana unaweka tu mfumo wa maintenance mode basi simu yako inaonekana mpya kama imetoka kununuliwa.

Maintenance mode inakusaidia kuzuia mafundi wakishika simu yako washindwe
โ€ข kuangalia email akaunti yako
โ€ข picha Zako pamoja na file Zako
โ€ข baadhi ya taarifa za siri zilizopo kwenye simu yako inakusaidia kuzipata data Zako kuwa salama.

Ingia setting kwenye simu yako ya Samsung>>battery & device care >>maintenance mode Iko chini kabisa utaiona weka on Kisha inabidi uzime na kuwasha simu yako. Utaweza kufanya backup ya data Zako kabla ya yote ili kuhifadhi taarifa Zako muhimu.

Jinsi gani ya kuondoa maintenance mode kwenye sehemu ya notification shusha utaona neno maintenance mode is running gusa utaweza ku exit (kutoka kwenye mfumo wa maintenance mode)

Utaweza kuondoa kwa kuweka fingerprint au password kama ni wewe kweli unataka kuondoa huu mfumo kwenye simu yako.

Vipi ulikua unajua hii au ndo unasikia Leo simu yako inayo hii feature ya maintenance mode au tuje na njia nyingine?

samsungexit.jpg
 
Nasikia pia Ni simu nzuri sana hizo Redmil hii ikoje?
Yeah Redmi ni simu nzuri sana kwa sababu wanatoa great hardware kwa bei rahisi. Redmi ni brand ya simu nzuri za bei rahisi kutoka kwa kampuni ya Xiaomi

Lakini sio Redmi zote ni nzuri, kuna Redmi za ovyo pia kama Redmi A1+, Redmi A2 n.k
 
Sina Siri zozote kwenye simu nachojali ni pesa yangu niliyonayo kwenye akaunti zangu ndo Siri Sana Ila Sina privacy nyingine
 
Samsung again..... wanajua sana hawa watu ila mi napenda caller app yao ina offer yafuatayo

1. Unaweza piga simu kwa ku swipe kushoto jina la mhusika.

2. Uki swipe kulia unatuma msg.

3. Ukikata simu kuna option ya kutuma msg au kupiga tena bila kurudi kwenye call ap.

4. Message app inaweza kaa kidot kwa screen kama messenger ya fb enzi hizo ukiwa unachati huku unaendelea na mambo mengine.

Nb; hizo features hazipo kwa wanaotumia google app
 
Samsung again..... wanajua sana hawa watu ila mi napenda caller app yao ina offer yafuatayo

1. Unaweza piga simu kwa ku swipe kushoto jina la mhusika.

2. Uki swipe kulia unatuma msg.

3. Ukikata simu kuna option ya kutuma msg au kupiga tena bila kurudi kwenye call ap.

4. Message app inaweza kaa kidot kwa screen kama messenger ya fb enzi hizo ukiwa unachati huku unaendelea na mambo mengine.

Nb; hizo features hazipo kwa wanaotumia google app
Kuhusu caller sina information ya kutosha Kwa One UI caller ila kama unaongelea Message App basi Google message app ni bora kuliko Samsung messages

1. Kwenye Google message ukienda kwenye messages zako, unaweza ku-archive message kwa ku-swipe message hiyo kwenda kushoto au kulia. Kwa kufanya simple action kama hii pekee inakuwezesha kupeleka message kwenye Archive folder.
Kwenye Samsung messages hakuna archive folder na wala haiwezi ku-swipe message kwenda kulia wala kushoto.

2. Kwenye Google Message unaweza kutuma GIFs wakati kwenye Samsung Messages hauwezi kabisa kutuma GIFs.

3. Kwenye Google Message unaweza kutuma stickers kwa kutumia keyboard yoyote, kwenye Samsung messages hauwezi mpaka u-activate Samsung keyboard ndio utatuma stickers. Shame!

4. Feature ya Spam and Block ya kwenye Google Messages ina-function vizuri kuliko kwenye Samsung messages. Google Message inadetect spam messages kirahisi kuliko Samsung messages. Hata kama ukipigiwa simu na namba ngeni, taarifa kuhusu hiyo event inaenda moja kwa moja kwenye Spam folder. Hii ni feature nzuri sana ambayo Samsung messages inakosa

5. Kuhusu suala la Notifications bado Google Messages ipo vizuri kuliko Samsung Messages. Kwa mfano ukitumiwa notification yenye code ndani yake na ile notification ika pop up juu ya display yako, Google Message inatumia mfumo wa AI kutambua code kwenye notification hiyo kwa hiyo inakuruhusu ku-copy code hiyo papo hapo bila hata kuingia kwenye app. Yaani inakuruhusu ku-copy code hiyo kupitia palepale kwenye Notification bar kwa kuigusa tu code hiyo.
Samsung messages haiwezi kufanya hii kitu. Kwenye Samsung message haitumii mfumo wa akili bandia kwa hiyo ujumbe wenye code ukiingia inapata options tatu tu Call, Mark as Read na Reply, wala hakuna option ya "Copy code"

6. Bado kwenye suala la Notifications yenye code kuna feature ambayo Google Message app anayo na ni nzuri sana ila Samsung Messages haina.
Kwenye Google Messages kuna feature ambayo inaruhusu kufuta message hizi automatically baada ya saa 24 na ni useful sana kwa sababu codes hizi hu-expire ndani ya saa 24. Samsung Messages haina feature hii.

7. Kwenye searching Google Messages inafanya kazi nzuri na ipo organised kuliko kwenye Samsung Messages.
Ukitap sehemu ya ku-search kwenye Google Messages Inakuletea row mbili; row ya kwanza ni Recent conversation ambayo inakuonesha conversation ulizofanya hivi karibuni kuanzia most recent kwenda kwenye least recent.
Row ya pili ni Categories ambayo inakukusanyia categories kwenye very organized way. Categories hizo ni Starred, Images, videos, places, na links. Hii system ya arrangement kwenye Google Messages ni nzuri kuliko kwenye Samsung Messages

Kwenye Samsung Messages kuna row mbili pia, row ya kwanza ni pictures and videos na row ya pili ni Others ambayo inaonesha other attachments. Hii arrangement ni poor ukifananisha na Google Messages

8. Google Message ipo vizuri kwenye ku-receive iPhone emoji reactions. Kwa mfano mtumiaji wa iPhone akireact kwenye message yako na emoji mbalimbali (, etc.) Google Message inaonesha hizi reactions papohapo kwa hiyo utaweza kuona hiyo reaction
Kwenye Samsung Messages huoni hizo emoji reaction.

9. Google Messages ina feature ya Smart Reply. Hii feature inakuonesha suggestions za kureply kwenye keyboard yako kulingana na text uliyotumiwa. Pia Google Message inajifunza tabia zako za kureply text za watu hivyo Smart reply inaweza kukusaidia ku-suggest reply based on text uliyotumiwa.
Samsung Messages haina hiyo feature ya Smart Reply.

10. Google Message ina feature ya "Message for Web" ambayo inakuwezesha kutuma na kupokea message kwenye kompyuta bila requirement nyingine yoyote
Kwenye Samsung Messages unaweza kufanya hivi pia lakini ni mpaka utumie app yao ya Samsung SideSync au Microsoft Phone link app. Wastage of time!

11. Kuhusu feature ya kwenye Samsung Messages ya kurespond kwenye message in a small pop up window huku unaendelea na shughuli nyingine imekuwa replaced na feature unique sana ya Google Messages inayoitwa text bubbles inayofanya kazi kama chat head kwenye messenger. Unique ideas is what we need

Samsung Messages App bado sana kuifikia Google Message App. Hata Samsung wenyewe wameanza kuset Google Messages kuwa default message app kwenye flagship zao na wanaipa Samsung Messages second priority. Kampuni yenyewe imeona umuhimu wa Google Message App na ukweli ni kwamba Google Message App ni application nzuri mara mia ya Samsung Message App.

Lastly naweza kusema tumia Samsung Message App kama kazi yako ni kutuma na kupokea messages tu. Ila kama unataka Message App ambayo iko matured na ina useful features nyingi basi tumia Google Message App, full stop.
 
Samsung again..... wanajua sana hawa watu ila mi napenda caller app yao ina offer yafuatayo

1. Unaweza piga simu kwa ku swipe kushoto jina la mhusika.

2. Uki swipe kulia unatuma msg.

3. Ukikata simu kuna option ya kutuma msg au kupiga tena bila kurudi kwenye call ap.

4. Message app inaweza kaa kidot kwa screen kama messenger ya fb enzi hizo ukiwa unachati huku unaendelea na mambo mengine.

Nb; hizo features hazipo kwa wanaotumia google app
InItwaje kwa jina ?
 
Kuhusu caller sina information ya kutosha Kwa One UI caller ila kama unaongelea Message App basi Google message app ni bora kuliko Samsung messages

1. Kwenye Google message ukienda kwenye messages zako, unaweza ku-archive message kwa ku-swipe message hiyo kwenda kushoto au kulia. Kwa kufanya simple action kama hii pekee inakuwezesha kupeleka message kwenye Archive folder.
Kwenye Samsung messages hakuna archive folder na wala haiwezi ku-swipe message kwenda kulia wala kushoto.

2. Kwenye Google Message unaweza kutuma GIFs wakati kwenye Samsung Messages hauwezi kabisa kutuma GIFs.

3. Kwenye Google Message unaweza kutuma stickers kwa kutumia keyboard yoyote, kwenye Samsung messages hauwezi mpaka u-activate Samsung keyboard ndio utatuma stickers. Shame!

4. Feature ya Spam and Block ya kwenye Google Messages ina-function vizuri kuliko kwenye Samsung messages. Google Message inadetect spam messages kirahisi kuliko Samsung messages. Hata kama ukipigiwa simu na namba ngeni, taarifa kuhusu hiyo event inaenda moja kwa moja kwenye Spam folder. Hii ni feature nzuri sana ambayo Samsung messages inakosa

5. Kuhusu suala la Notifications bado Google Messages ipo vizuri kuliko Samsung Messages. Kwa mfano ukitumiwa notification yenye code ndani yake na ile notification ika pop up juu ya display yako, Google Message inatumia mfumo wa AI kutambua code kwenye notification hiyo kwa hiyo inakuruhusu ku-copy code hiyo papo hapo bila hata kuingia kwenye app. Yaani inakuruhusu ku-copy code hiyo kupitia palepale kwenye Notification bar kwa kuigusa tu code hiyo.
Samsung messages haiwezi kufanya hii kitu. Kwenye Samsung message haitumii mfumo wa akili bandia kwa hiyo ujumbe wenye code ukiingia inapata options tatu tu Call, Mark as Read na Reply, wala hakuna option ya "Copy code"

6. Bado kwenye suala la Notifications yenye code kuna feature ambayo Google Message app anayo na ni nzuri sana ila Samsung Messages haina.
Kwenye Google Messages kuna feature ambayo inaruhusu kufuta message hizi automatically baada ya saa 24 na ni useful sana kwa sababu codes hizi hu-expire ndani ya saa 24. Samsung Messages haina feature hii.

7. Kwenye searching Google Messages inafanya kazi nzuri na ipo organised kuliko kwenye Samsung Messages.
Ukitap sehemu ya ku-search kwenye Google Messages Inakuletea row mbili; row ya kwanza ni Recent conversation ambayo inakuonesha conversation ulizofanya hivi karibuni kuanzia most recent kwenda kwenye least recent.
Row ya pili ni Categories ambayo inakukusanyia categories kwenye very organized way. Categories hizo ni Starred, Images, videos, places, na links. Hii system ya arrangement kwenye Google Messages ni nzuri kuliko kwenye Samsung Messages

Kwenye Samsung Messages kuna row mbili pia, row ya kwanza ni pictures and videos na row ya pili ni Others ambayo inaonesha other attachments. Hii arrangement ni poor ukifananisha na Google Messages

8. Google Message ipo vizuri kwenye ku-receive iPhone emoji reactions. Kwa mfano mtumiaji wa iPhone akireact kwenye message yako na emoji mbalimbali (, etc.) Google Message inaonesha hizi reactions papohapo kwa hiyo utaweza kuona hiyo reaction
Kwenye Samsung Messages huoni hizo emoji reaction.

9. Google Messages ina feature ya Smart Reply. Hii feature inakuonesha suggestions za kureply kwenye keyboard yako kulingana na text uliyotumiwa. Pia Google Message inajifunza tabia zako za kureply text za watu hivyo Smart reply inaweza kukusaidia ku-suggest reply based on text uliyotumiwa.
Samsung Messages haina hiyo feature ya Smart Reply.

10. Google Message ina feature ya "Message for Web" ambayo inakuwezesha kutuma na kupokea message kwenye kompyuta bila requirement nyingine yoyote
Kwenye Samsung Messages unaweza kufanya hivi pia lakini ni mpaka utumie app yao ya Samsung SideSync au Microsoft Phone link app. Wastage of time!

11. Kuhusu feature ya kwenye Samsung Messages ya kurespond kwenye message in a small pop up window huku unaendelea na shughuli nyingine imekuwa replaced na feature unique sana ya Google Messages inayoitwa text bubbles inayofanya kazi kama chat head kwenye messenger. Unique ideas is what we need

Samsung Messages App bado sana kuifikia Google Message App. Hata Samsung wenyewe wameanza kuset Google Messages kuwa default message app kwenye flagship zao na wanaipa Samsung Messages second priority. Kampuni yenyewe imeona umuhimu wa Google Message App na ukweli ni kwamba Google Message App ni application nzuri mara mia ya Samsung Message App.

Lastly naweza kusema tumia Samsung Message App kama kazi yako ni kutuma na kupokea messages tu. Ila kama unataka Message App ambayo iko matured na ina useful features nyingi basi tumia Google Message App, full stop.
Uko sahihi, Google message ni nzuri,mimi natumia hiyo kwenye simu yangu.
 
Kuhusu caller sina information ya kutosha Kwa One UI caller ila kama unaongelea Message App basi Google message app ni bora kuliko Samsung messages

1. Kwenye Google message ukienda kwenye messages zako, unaweza ku-archive message kwa ku-swipe message hiyo kwenda kushoto au kulia. Kwa kufanya simple action kama hii pekee inakuwezesha kupeleka message kwenye Archive folder.
Kwenye Samsung messages hakuna archive folder na wala haiwezi ku-swipe message kwenda kulia wala kushoto.

2. Kwenye Google Message unaweza kutuma GIFs wakati kwenye Samsung Messages hauwezi kabisa kutuma GIFs.

3. Kwenye Google Message unaweza kutuma stickers kwa kutumia keyboard yoyote, kwenye Samsung messages hauwezi mpaka u-activate Samsung keyboard ndio utatuma stickers. Shame!

4. Feature ya Spam and Block ya kwenye Google Messages ina-function vizuri kuliko kwenye Samsung messages. Google Message inadetect spam messages kirahisi kuliko Samsung messages. Hata kama ukipigiwa simu na namba ngeni, taarifa kuhusu hiyo event inaenda moja kwa moja kwenye Spam folder. Hii ni feature nzuri sana ambayo Samsung messages inakosa

5. Kuhusu suala la Notifications bado Google Messages ipo vizuri kuliko Samsung Messages. Kwa mfano ukitumiwa notification yenye code ndani yake na ile notification ika pop up juu ya display yako, Google Message inatumia mfumo wa AI kutambua code kwenye notification hiyo kwa hiyo inakuruhusu ku-copy code hiyo papo hapo bila hata kuingia kwenye app. Yaani inakuruhusu ku-copy code hiyo kupitia palepale kwenye Notification bar kwa kuigusa tu code hiyo.
Samsung messages haiwezi kufanya hii kitu. Kwenye Samsung message haitumii mfumo wa akili bandia kwa hiyo ujumbe wenye code ukiingia inapata options tatu tu Call, Mark as Read na Reply, wala hakuna option ya "Copy code"

6. Bado kwenye suala la Notifications yenye code kuna feature ambayo Google Message app anayo na ni nzuri sana ila Samsung Messages haina.
Kwenye Google Messages kuna feature ambayo inaruhusu kufuta message hizi automatically baada ya saa 24 na ni useful sana kwa sababu codes hizi hu-expire ndani ya saa 24. Samsung Messages haina feature hii.

7. Kwenye searching Google Messages inafanya kazi nzuri na ipo organised kuliko kwenye Samsung Messages.
Ukitap sehemu ya ku-search kwenye Google Messages Inakuletea row mbili; row ya kwanza ni Recent conversation ambayo inakuonesha conversation ulizofanya hivi karibuni kuanzia most recent kwenda kwenye least recent.
Row ya pili ni Categories ambayo inakukusanyia categories kwenye very organized way. Categories hizo ni Starred, Images, videos, places, na links. Hii system ya arrangement kwenye Google Messages ni nzuri kuliko kwenye Samsung Messages

Kwenye Samsung Messages kuna row mbili pia, row ya kwanza ni pictures and videos na row ya pili ni Others ambayo inaonesha other attachments. Hii arrangement ni poor ukifananisha na Google Messages

8. Google Message ipo vizuri kwenye ku-receive iPhone emoji reactions. Kwa mfano mtumiaji wa iPhone akireact kwenye message yako na emoji mbalimbali (, etc.) Google Message inaonesha hizi reactions papohapo kwa hiyo utaweza kuona hiyo reaction
Kwenye Samsung Messages huoni hizo emoji reaction.

9. Google Messages ina feature ya Smart Reply. Hii feature inakuonesha suggestions za kureply kwenye keyboard yako kulingana na text uliyotumiwa. Pia Google Message inajifunza tabia zako za kureply text za watu hivyo Smart reply inaweza kukusaidia ku-suggest reply based on text uliyotumiwa.
Samsung Messages haina hiyo feature ya Smart Reply.

10. Google Message ina feature ya "Message for Web" ambayo inakuwezesha kutuma na kupokea message kwenye kompyuta bila requirement nyingine yoyote
Kwenye Samsung Messages unaweza kufanya hivi pia lakini ni mpaka utumie app yao ya Samsung SideSync au Microsoft Phone link app. Wastage of time!

11. Kuhusu feature ya kwenye Samsung Messages ya kurespond kwenye message in a small pop up window huku unaendelea na shughuli nyingine imekuwa replaced na feature unique sana ya Google Messages inayoitwa text bubbles inayofanya kazi kama chat head kwenye messenger. Unique ideas is what we need

Samsung Messages App bado sana kuifikia Google Message App. Hata Samsung wenyewe wameanza kuset Google Messages kuwa default message app kwenye flagship zao na wanaipa Samsung Messages second priority. Kampuni yenyewe imeona umuhimu wa Google Message App na ukweli ni kwamba Google Message App ni application nzuri mara mia ya Samsung Message App.

Lastly naweza kusema tumia Samsung Message App kama kazi yako ni kutuma na kupokea messages tu. Ila kama unataka Message App ambayo iko matured na ina useful features nyingi basi tumia Google Message App, full stop.
Samsung wana Smart Reply pia bwana...

Samsung hawana sent time ya meseji uliyopokea.
Google Messeges wana time sent kwenye msg details
 
Na wengi ndo tulivyo. Sema tunajitia ujuaji tu

Mkuu watu wamejaza mapilau kwenye simu zao na magroup ya kihuni

Kuna demu wangu mmoja wa kuzugia alinipa simu nikamtengenezee kwa fundi
Ilipo pona nikaona ngoja niikague kidogo
Aisee mademu wanapenda pilau tena za kusagana
Yupo kwenye magroup ya hatari wanajadili ujinga wa sita kwa sita na jinsi mabwana zao wanavyo wafanya

Nilikua namchukulia poa namgonga kistaarabu
nilipo baini hayo nilianza ku apply style zote unazozijua kwenye mapilau na demu anatoa ushirikiano wa kufa mtu
 
Mkimaliza kujadiliana hayo makorokocho yenu, ajitokeze mtu aniambie ni kampuni gani inatoa huduma za Internet bila kutumia haya makampuni ya simu (mae zao sana haya makampuni ya simu). Yaani wanatoa h7duma kwa satelite
 
Back
Top Bottom