Wilfredy Audiphace
Member
- Feb 20, 2018
- 28
- 14
Wakuu kutumia shirika la usafirishaji fedex lazima uwe na account kwenye shirika lao kama ilivyo posta?
HapanaWakuu kutumia shirika la usafirishaji fedex lazima uwe na account kwenye shirika lao kama ilivyo posta?
Hapana nini tena?HAPANA.
Si umeuliza swali mkuu??ndio nimekujibu hivyo.Hapana nini tena?
Hapana sio lazima kwa maelezo zaid wasiliana na muwakilishi wa mauzo na masoko FedEx Express Tanzania kwa sim namba 0657844098. Karibu sana.Wakuu kutumia shirika la usafirishaji fedex lazima uwe na account kwenye shirika lao kama ilivyo posta?