Huyu shule hajaenda anataka fanya ujanja ujanja🙏Locus GIS
Alafu anaita coodness badala ya coordinate🤣🤣we dalali
Umekaa na Maafisa akajifunza kidogo,Sasa unataka kujifanya mtaalamu,wakati wenzio wamekaa darasani miaka mi4
Acha utapel ndugu
Jamani acheni ubinafsi nimesomewa na mtaalam Kisha kachora lakini Nina wasiwasi ndio maana nataka nielewe ili nijaribu na mimi cheki sample zake hapa chiniAcha janja janja heshimu taaluma ya watu ,mpe Mtaalamu akufanyie hiyo kazi na utamlipa pesa , mm sikusaidi hata kidogo
Asante mkuuTumia Q-GIS inakubali Kwa pc.
Hila coordinate kuna app nyingi za simu unachukulia.
hyo Q- GIS itakusaidia kuplot hyo ramani.
hzo coordinate zinachukuliwa Kwa taratibu zake kunakiwango lazina simu isome ndo urecord na utakuja kuziandika kwenye XLS docs.
na kuna aina ya formate utapaswa uisave then utaenda kure extract file lako kwenye Q-GIS itaplot .
Kwa msaada zaidi kula tutorial YouTube.