Tuma picha ya result ya marian tukupe majibuNiliomba vyuo viwili Must na Marian unversity,Marian wamenchagua ila Must wako kimya!!!
Mwenye uelewa aniambie jins ya kutambua kama nna multiple selection ili nijue.
karibun
Hujanielewa auKaribun wadau
Kama una multiple admission hapo marian watakuandikia "una multiple admission" kwahiyo watakwambia utumie code ku-confirm.Niliomba vyuo viwili Must na Marian unversity,Marian wamenchagua ila Must wako kimya!!!
Mwenye uelewa aniambie jins ya kutambua kama nna multiple selection ili nijue.
karibun