Msaada jinsi ya kuset ussd code zifanye kazi

Msaada jinsi ya kuset ussd code zifanye kazi

Kumfumaster97

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2024
Posts
1,117
Reaction score
1,162
Habari za muda huu wakuu ,
Msaada jinsi ya kuset USSD zifanye kazi maana kila nikijaribu kuingia kwenye menu inaonyesha ussd code running alafu baada ya muda inaandika connection failed or mmi invalid
 

Attachments

  • Screenshot_20250601_080436_Phone.jpg
    Screenshot_20250601_080436_Phone.jpg
    20.9 KB · Views: 17
Habari za muda huu wakuu ,
Msaada jinsi ya kuset USSD zifanye kazi maana kila nikijaribu kuingia kwenye menu inaonyesha ussd code running alafu baada ya muda inaandika connection failed or mmi invalid
Samsung na huu ugonjwa ni kama wamefunga nao ndoa sijui alafu una solvika kwa njia tofauti tofauti ndiyo tatizo linapoanza sasa skia nakupa methods hizi mbili kwanza.

1. Ingia setting alafu nenda upande wa internet kaangalie kama network mode yako iko 4G/LTE ONLY itoe weka 3G au Auto na pia kama feature ya VOLTE iko OFF weka ON. Ujue simu zingine zikiwa 4G Only huwa hazikubali simu kutoka, kuingia wala USSD kurun, ujue kuna baadhi ya mitandao hasa bongo haisupport VoLTE ni Voda na TTCL pekee ndiyo wako nayo sijafatilia wengine kama wanayo ukitaka kuijua VOLTE ni nini ingia google au kwenye ChatGPT hizo watakuelewesha..

2. Hapa jaribu ku update Google Play Services hii app kwenye simu za android ikiwaga outdated huwa inaleta multifunctional kwenye baadhi ya apps make hii App ni kama MOYO wa simu sasa so nadhani unaelewa moyo kwa binadamu ukiwa una misbehave inakuaje.


Bonyeza hiyo link juu alafu ukiona neno UPDATE fanya hivyo mara moja...

Kama Google Play Services ilkua outdated na ukai update basi utaona tu inakuletea apps zingine ambazo zilikua outdated nazo uzi update pia. Unaeza ingia Playstore au App Gallery sijui ku confirm hilo kucheck kama pia dialer unaweza kuta inataka updatiwa

Screenshot_20250603-073605_Google%20Play%20Store.jpg
 
Samsung na huu ugonjwa ni kama wamefunga nao ndoa sijui alafu una solvika kwa njia tofauti tofauti ndiyo tatizo linapoanza sasa skia nakupa methods hizi mbili kwanza.

1. Ingia setting alafu nenda upande wa internet kaangalie kama network mode yako iko 4G/LTE ONLY itoe weka 3G au Auto na pia kama feature ya VOLTE iko OFF weka ON. Ujue simu zingine zikiwa 4G Only huwa hazikubali simu kutoka, kuingia wala USSD kurun, ujue kuna baadhi ya mitandao hasa bongo haisupport VoLTE ni Voda na TTCL pekee ndiyo wako nayo sijafatilia wengine kama wanayo ukitaka kuijua VOLTE ni nini ingia google au kwenye ChatGPT hizo watakuelewesha..

2. Hapa jaribu ku update Google Play Services hii app kwenye simu za android ikiwaga outdated huwa inaleta multifunctional kwenye baadhi ya apps make hii App ni kama MOYO wa simu sasa so nadhani unaelewa moyo kwa binadamu ukiwa una misbehave inakuaje.


Bonyeza hiyo link juu alafu ukiona neno UPDATE fanya hivyo mara moja...

Kama Google Play Services ilkua outdated na ukai update basi utaona tu inakuletea apps zingine ambazo zilikua outdated nazo uzi update pia. Unaeza ingia Playstore au App Gallery sijui ku confirm hilo kucheck kama pia dialer unaweza kuta inataka updatiwa

View attachment 3354234
Sawa mkuu shukrani
 
Back
Top Bottom