Wanakijiji naomba msaada kwa yeyote anayejua jinsi ya kusafisha kuku wa nyama wakishachinjwa na kuwakausha vizuri ili wasibakie na majimaji ya damu kabla ya kufungasha, kwani yale maji maji yanasababisha kuku kuwa na rangi nyekundu badala ya nyeupe inayotakiwa. asanteni kwa ushirikiano.