Spacefox
Member
- Aug 10, 2020
- 93
- 90
Habari zenu,
Kama kichwa kinavyo jieleza, mimi nilihitimu kidato cha nne 2015. Cheti changu kina makosa kwenye jina kuna herufi imeongezeka kimakosa.
Je, nawezaje kurekebisha? Maana sihitaji nibadili cheti cha kuzaliwa.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Kama kichwa kinavyo jieleza, mimi nilihitimu kidato cha nne 2015. Cheti changu kina makosa kwenye jina kuna herufi imeongezeka kimakosa.
Je, nawezaje kurekebisha? Maana sihitaji nibadili cheti cha kuzaliwa.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app