Michael Amon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 8,775
- 3,610
Naombeni msaada wenu wataalam wa biashara kuhusu upangaji wa bei za bidhaa na huduma. Mimi ninataka kufanya biashara ambayo inahusiana nambo ya IT. Ninaomba msaada kwa yeyote mwenye ufahamu au uzoefu wa jinsi ya kupanga bei za bidhaa au huduma. Je ni vigezo gani ambavyo vinatumika katika kupanga bei za bidhaa au huduma? Natanguliza shukrani za dhati kwa yeyote ambaye atajitokeza kunisaidia katika hili.