Big TIMERS
Senior Member
- Dec 5, 2018
- 120
- 140
Matumuzi ya KASI ya internet yamefika kikomo endelea kufurahia matumizi ya kawaida. huu ujumbe huwa unanikasirisha sana. Mwenye utaalamu anifahamishe jinsi ya kuondoa huo ukomo wa kasi, internet ibaki na kasi ileile. Natumia moderm ya halotel.