Kama heading inavyojieleza,
Kweli natamani nipate mume wa kizungu, si kwamba siwapendi kaka zangu no ni kwamba niliyekuwa nae kweli amenichosha mpaka nimeyachukia mapenzi ndo maana nataka nibadilishe labda nitaenjoy.
Naombeni mnielekeze jinsi ya kumpata huyu mtu am serious jamani
NB: Matusi na kejeli sipendi kama huna msaada pita tu kimya kimya
Kweli natamani nipate mume wa kizungu, si kwamba siwapendi kaka zangu no ni kwamba niliyekuwa nae kweli amenichosha mpaka nimeyachukia mapenzi ndo maana nataka nibadilishe labda nitaenjoy.
Naombeni mnielekeze jinsi ya kumpata huyu mtu am serious jamani
NB: Matusi na kejeli sipendi kama huna msaada pita tu kimya kimya