Msaada jinsi ya kujikinga na majini

Msaada jinsi ya kujikinga na majini

Zeddicus Zu'l Zorander

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2011
Posts
804
Reaction score
956
Nina mdogo wangu wa kike ambaye anasoma shule ya sekondari Thaqaafa Mwanza, kwa muda mrefu kila akirudi likizo ananiambia jinsi majini yanavyowakamata wasichana katika shule hiyo hasa wa kiislamu nikawa nachukulia poa kwa vile yeye ni mkristo nikajua hayatamsumbua.

Cha kutisha wamefunga shule juzi, na ameniambia sasa hivi ni kama yameamia kwa wakristo,marafiki zake wawili tayari yamewakamata.
Kuna vyoo viwili kwenye bweni la wasichana ukiingia huko unadondoka na wazee ndio wanakuwa tayari wamekutembelea.

Mbaya zaidi shule hiyo hairuhusu ibada kwa wanafunzi wakristo hivyo wamekuwa kama wakiwa mwenzao hakidondoka hakuna msaada,
Waislamu wakidondoka wanapelekwa msikitini then yanatulia.

Baada ya kuniambia nimeogopa sana kwa sababu nyumbani tuliwahi kuwa na mdada wa kazi mwenye majini kwa kweli hayo madude yanatesa, tulimpeleka kanisani wakawa wanamwombea lakini akifika nyumbani yanarudi mpaka ikabidi tumrudishe kwao.

Hapo shuleni wameshafanya usajili wa mitihani ya form six, hivyo naona lazima atamalizia hapo tuu.

Naomba msaada jinsi ya kuzuia haya majini yasimpate mtu ili nione kama anaweza kumalizia hii miezi nane salama.
NAWASILISHA.
 
Nina mdogo wangu wa kike ambaye anasoma shule ya sekondari Thaqaafa Mwanza, kwa muda mrefu kila akirudi likizo ananiambia jinsi majini yanavyowakamata wasichana katika shule hiyo hasa wa kiislamu nikawa nachukulia poa kwa vile yeye ni mkristo nikajua hayatamsumbua.

Cha kutisha wamefunga shule juzi, na ameniambia sasa hivi ni kama yameamia kwa wakristo,marafiki zake wawili tayari yamewakamata.
Kuna vyoo viwili kwenye bweni la wasichana ukiingia huko unadondoka na wazee ndio wanakuwa tayari wamekutembelea.

Mbaya zaidi shule hiyo hairuhusu ibada kwa wanafunzi wakristo hivyo wamekuwa kama wakiwa mwenzao hakidondoka hakuna msaada,
Waislamu wakidondoka wanapelekwa msikitini then yanatulia.

Baada ya kuniambia nimeogopa sana kwa sababu nyumbani tuliwahi kuwa na mdada wa kazi mwenye majini kwa kweli hayo madude yanatesa, tulimpeleka kanisani wakawa wanamwombea lakini akifika nyumbani yanarudi mpaka ikabidi tumrudishe kwao.

Hapo shuleni wameshafanya usajili wa mitihani ya form six, hivyo naona lazima atamalizia hapo tuu.

Naomba msaada jinsi ya kuzuia haya majini yasimpate mtu ili nione kama anaweza kumalizia hii miezi nane salama.
NAWASILISHA.
Njoo PM tuongee vizuri tatizo dogo hili
 
Watafute 'watu' wayatoe wakayatupe mbali,hakuna cha yesu wala nini,jinni umtishie yesu we mwenyewe unanuka zinaa!..ukiwapata 'wenyewe' yanaondoka yakilia na hayarudi
 
msaada ni yeye amjue Mungu na atubu dhambi zake, amwamini Yesu kama Bwana na mwokozi wa maisha yake na ajifunike kwa damu ya Yesu. Jina la Yesu lina mamlaka makubwa sana ni kwa vile shetani anazuia watu kutokujua Jina Hili, Kila Goti litapigwa na kila ulimi utakiri ya kwamba Yesu Kristo ni Bwana, Hao wanaozuia maombi wanajua kwamba wakiacha Jina la Yesu litajwe bihashara zao zimekwisha.
 
kamfupa kanguruwe pia naskia ni tiba ya hayo makitu.kikubwa akomae na sala sana
 
Back
Top Bottom