Valentina
JF-Expert Member
- Oct 12, 2013
- 24,633
- 28,635
Ngoja nikae kitako kabisaTegemea simu yangu leo..
Ngoja nikae kitako kabisaTegemea simu yangu leo..
Kitako itakua tamu zaid..Ngoja nikae kitako kabisa
Basi ndo nimekikaa hapaKitako itakua tamu zaid..
At your own riskTegemea simu yangu leo..
poa nikija hapatakucha!Basi ndo nimekikaa hapa
Bae, what do you mean?At your own risk
ha haaha ukinibusu naanza ya kubusuana ha hahaha,,.. umenikumbusha mbali ha hahaha maisha ni raha sanawanasema use as means to shut her/him up. akianza kuongea tu tumia any romantic way ujifanye kama unamseduce uku unamwambia baby punguza kuongea kidogo umnunulie na publish
kabisa na hapo dushe halipo active kiivyoKwani wakati unamtongoza hukuyajua haya? Wanawake wanaoongea ni wazuri sana mkiwa wazee, wakati huo umeshakuwa pensioner, huamki asubuhi kuwahi kokote, story zake zitakuwa dhahabu kwako.
Wananifurahisha wazee eti wanaoneana wivu watu wako 80+kabisa na hapo dushe halipo active kiivyo
ha haha kuna mengi anakosaWananifurahisha wazee eti wanaoneana wivu watu wako 80+
Hahahahahahahapo dawa yake akianzisha story msikilize.. akimaliza tu na wewe anzisha story ndefu balaa... ikiwezekana mkeshe... atajua amekutana na kisiki..!!!!
You know woram sayingBae, what do you mean?