Mwanaume umewezaje kuishi na mwanamke mwenye matumizi mabaya ya fedha?

Utawala2025

JF-Expert Member
Oct 20, 2023
329
1,059
Habari.

Wakuu mke wangu amekuwa na rough budget yaani ana matumizi mabaya ya fedha.

Mwanzo nilikuwa ninamuachia kila siku kiasi kadhaa.

Baadae nikaamua niwe namwachia hela ya mwezi mzima ambapo hapo nimejumuisha hela ya meza kila siku ,dharura na budget yake kidogo.

Changamoto ni moja ni Mtu anayeoenda kununua kitu chochote kile anachojisikia kwenye hela ya matumizi.

Ana roho ya huruma mtu akimuomba hela tu tayari kagawa.

Changamoto kwangu ni moja najikuta siendi na budget ya mshahara na kimekuwa mtu wa kulimbikiza madeni kila kukicha.
 
MWanamke mpime kabla hujampa majukumu makubwa.

Kipimo chako ukijiridhisha kuwa ameizoea pesa na anaiheshimu...mpe kazi ya kupanga bajeti na mshirikishe kila kitu.

Ukigundua ni mfujaji usisite kuchukua usukani na majukumu muhimu wewe mpe ya matumizi yake tu mengine simamia
 
Habari.

Wakuu mke wangu amekuwa na rough budget yaani ana matumizi mabaya ya fedha.
Mwanzo nilikuwa ninamuachia kila siku kiasi kadhaa.

Baadae nikaamua niwe namwachia hela ya mwezi mzima ambapo hapo nimejumuisha hela ya meza kila siku ,dharura na budget yake kidogo.

Changamoto ni moja ni Mtu anayeoenda kununua kitu chochote kile anachojisikia kwenye hela ya matumizi.

Ana roho ya huruma mtu akimuomba hela tu tayari kagawa.

Changamoto kwangu ni moja najikuta siendi na budget ya mshahara na kimekuwa mtu wa kulimbikiza madeni kila kukicha.
Mtu wa hivi huwa ni hatari sana,ni bora awe mtafutaji lkn kama ni mama wa nyumbani lazima upate pressure,halafu ukute mtu wa kupenda lawama hapo cha moto utakiona utakopa mpk uchanganyikiwe...
 
Wanawake wa namna hiyo mara nyingi hujiona wapo right, na hawapendi kuambia wana matumizi mabaya. Ni walalamishi na hujiona wanaonewa kisa wewe ndiye mtoa hela.

Ungeishi nae katika uchumba hata mwezi ukampima kabla hujaoa. Au huenda ulimuonyesha kua wewe ni kibopa na pesa kwako sio tatizo. Mwanamke ni kama mtoto, umleavyo ndivyo akuavyo.

Kwa kifupi umeyatimba. Cha msingi acha kodi ya meza kwa siku. Punguza kumdekeza na kumpa majukumu makubwa ya kukaa na ela nyingi! Unaachaje ela ya kula kwa mwezi!
 
Habari.

Wakuu mke wangu amekuwa na rough budget yaani ana matumizi mabaya ya fedha.
Mwanzo nilikuwa ninamuachia kila siku kiasi kadhaa.

Baadae nikaamua niwe namwachia hela ya mwezi mzima ambapo hapo nimejumuisha hela ya meza kila siku ,dharura na budget yake kidogo.

Changamoto ni moja ni Mtu anayeoenda kununua kitu chochote kile anachojisikia kwenye hela ya matumizi.

Ana roho ya huruma mtu akimuomba hela tu tayari kagawa.

Changamoto kwangu ni moja najikuta siendi na budget ya mshahara na kimekuwa mtu wa kulimbikiza madeni kila kukicha.
Hiyo ya madeni unajitakia mwenyewe.
Hebu Tenga fungu mtumie bimkubwa wako kijijini mara Kwa mara na Hilo tatizo litakwisha.,Kwa wazazi ndipo mlongo wako wa rizki ulipo, elewa
Una Bahati kupata mwanamke anaetoa Kwa moyo hiyo ni baraka na mhimize kutoa zaidi.
Usipate Bahili na mwishowe vitu vikakuozea ndani,au ndio unataka.
He giveth shall receiveth
Mwenye kutoa hupokea.
 
Back
Top Bottom