Mwamba1961
JF-Expert Member
- Dec 10, 2016
- 610
- 400
Habari zenu,
Naombeni msaada ,Ni njia gani za kufanya ili niweze kufuga KANGA kwenye banda la kuku ??
Na nitarajie changamoto gani na ninazikabili vipi ??
Wadau karibuni kwa majibu.....
Naombeni msaada ,Ni njia gani za kufanya ili niweze kufuga KANGA kwenye banda la kuku ??
Na nitarajie changamoto gani na ninazikabili vipi ??
Wadau karibuni kwa majibu.....