Hapo ulipomwelekeza ni NECTA na sio NACTE.Panda magari ya makumbusho ukifika stendi makumbusho panda magari yanayoelekea Tegeta au tabata mwambie konda akaushushe kituo cha BAMAGA ukishuka hapo vuka barabara fata ofisi za startimes ukifika TBC ujue umefika NACTE
Hii ni ya TBC ni NECTA sio NACTEPanda magari ya makumbusho ukifika stendi makumbusho panda magari yanayoelekea Tegeta au tabata mwambie konda akaushushe kituo cha BAMAGA ukishuka hapo vuka barabara fata ofisi za startimes ukifika TBC ujue umefika NACTE
Naomba nikushukuru kwa uungwana.Panda magari ya makumbusho then ukifika makumbusho panda magari ya kwenda Tegeta au bunju then waambie wakushushe ITV hapo utachukua bajaj ya shs 1000 itakupeleka mpaka geti la nacte.
Panda mabus ya mbagala - makumbusho kisha shuka makumbusho ukishuka panda büs za tegeta, kunduchi au bunju na shuka kituo cha ITV hapo ūliza kwa madereva bajaji watakuonyesha njia ya kwenda NACTEWazima humu wapendwa,
Samahan, naomba kuelekezwa jinsi ya kufika NACTE ukitokea mbagala, naomba kuelekezwa nipande magari ya wapi hatua kwa hatua ili nifike maana ni mgeni kabisa Dar es salaam.
Ahsanteni
Huyo ni dereva wa bodaboda Bamaga, ukishuka umefika hauhitaji bodaboda.Ahsante boss
Mkuu panda magari yanayoishia simu2000 then chukua boda pale waambie unaenda NACTE,buku tu,ungekuwa mwenyeji ungetembea,zipo katikati ya mwenge na ubungo,karibia na mlimani city,utaliona jengo limeandikwa NACTE..Ni NACTE, msaada wako tafadhali boss
Hii ni ya TBC ni NECTA sio NACTE
UTAMPOTEZA MKUU
Kwa kuongezea, unaweza muomba konda akushushe Sayansi, kutoka hapo unatembea kwa mguu(kama wewe sio mtu wa Dar) mpaka huko NECTA. Au tembea toka makumbusho hadi NECTA sio mbali fanya kama uko mkoani.Panda mabus ya mbagala - makumbusho kisha shuka makumbusho ukishuka panda büs za tegeta, kunduchi au bunju na shuka kituo cha ITV hapo ūliza kwa madereva bajaji watakuonyesha njia ya kwenda NACTE
Nimeedit kwenye post uliyoniquote.Duuh, msaada wako.. nafikaje NACTE
Yeye anataka kufika NACTE na sio NECTA mkuu, wewe umeelekeza NECTAKwa kuongezea, unaweza muomba konda akushushe Sayansi, kutoka hapo unatembea kwa mguu(kama wewe sio mtu wa Dar) mpaka huko NECTA. Au tembea toka makumbusho hadi NECTA sio mbali fanya kama uko mkoani.
Wewe ndo unampoteza kabisaMkuu panda magari yanayoishia simu2000 then chukua boda pale waambie unaenda NACTE,buku tu,ungekuwa mwenyeji ungetembea,zipo katikati ya mwenge na ubungo,karibia na mlimani city,utaliona jengo limeandikwa NACTE..
Hahaha ni hapo hapo msimchanganye msukuma mwenzetu huyo. Akifika na ikawa sipo, atauliza walinzi hapo hapo watamuelekeza.Yeye anataka kufika NACTE na sio NECTA mkuu, wewe umeelekeza NECTA