Msaada jinsi ya kudownload nyimbo kwenye muziki neti

Msaada jinsi ya kudownload nyimbo kwenye muziki neti

DR. MWAKABANJE

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2012
Posts
1,986
Reaction score
3,151
Habari waungwana wa Jf, Naomba kusaidiwa jinsi ya kuweza kudownload nyimbo ziliko kwenye MUZIKI NET, sio siri kuna nyimbo za makabila mbalimbali ya hapa nchini nazipenda sana ila nimejaribu kuzipakua nikashindwa naomba mwenye uzoefu anisaidie, nitashukuru sana!
 
nimevisit kidogo na simu it seems kwamba hio website wanaruhusu kustream nyimbo online na hawaruhusu kudownload.

Hapo utahitaji software moja inaitwa internet download manager itazidaka hizo nyimbo ili uweze kudownload.

Idm(internet download manager) ni rahisi inadaka automatic sema ni ya kulipia unapewa siku za kujaribu unless uwe umeicrack.

Software nyengine unayoweza tumia kudownload hio miziki ni dam (download accelerator manager) hii ni ya bure sema haidownload automatic hadi uicomand. So angalia mwenyewe
 
nimevisit kidogo na simu it seems kwamba hio website wanaruhusu kustream nyimbo online na hawaruhusu kudownload.

Hapo utahitaji software moja inaitwa internet download manager itazidaka hizo nyimbo ili uweze kudownload.

Idm(internet download manager) ni rahisi inadaka automatic sema ni ya kulipia unapewa siku za kujaribu unless uwe umeicrack.

Software nyengine unayoweza tumia kudownload hio miziki ni dam (download accelerator manager) hii ni ya bure sema haidownload automatic hadi uicomand. So angalia mwenyewe

Nashukuru sana ngoja nijaribu nitaleta feedback mkuu!
 
Back
Top Bottom