Msaada Jinsi ya kuconnect Speaker na LG LED Tv

Andres

JF-Expert Member
Dec 4, 2013
501
791
Nina LG Led 49 ( Lj515V-Zd), Na nina Radio aina ya Aborder na speaker zake. Sasa nikiweka Flash kwenye Tv nikaconnect na zile nyaya nyeupe na nyekundu kwenye Radio na Tv, Bado sauti naiskia haiji kwenye speaker. Sasa nafanyaje wakuu ? Na kwenye tv wala radio sijaona port kama zile za earphone Msaada jamani kwa anayefahamu ?
 
Unatumia optical ipo Kama hivi
images


LG TV nyingi Zina support optical sijui Kama aborder inayo. Angalia nyuma ya vyote.
 
Dah kwenye Tv nimeona hiyo option ya Optical input kweli, lakini hii subwoofer yangu ni Aborder, sijaiona hiyo mkuu.. Mbona mtihani
 
Sijaona hapo earphone port zaidi ya hizo tano za rangi.. Na tatu ambapo zimeandikwa satellite, antenna, na optical output
IMG_20190719_141654.jpeg
 
Unatumia optical,
Dah kwenye Tv nimeona hiyo option ya Optical input kweli, lakini hii subwoofer yangu ni Aborder, sijaiona hiyo mkuu.. Mbona mtihani
Then utahitaji adapter

41GsvtDKGqL._AC_SY400_.jpg


Andaa so chini ya 20,000 kwa waya na adapter inaweza fika Hadi 50,000.

Uhuru na msimbazi Kama unaenda Uhuru na Congo unapata vyote.

Jina la adapter ni digital to analog converter.
 
Nina LG Led 49 ( Lj515V-Zd), Na nina Radio aina ya Aborder na speaker zake. Sasa nikiweka Flash kwenye Tv nikaconnect na zile nyaya nyeupe na nyekundu kwenye Radio na Tv, Bado sauti naiskia haiji kwenye speaker. Sasa nafanyaje wakuu ? Na kwenye tv wala radio sijaona port kama zile za earphone Msaada jamani kwa anayefahamu ?

Ndugai anashida gani? ataka kuonekana kwa TV?
 
Viva Mkwawa
Unatumia optical,
Then utahitaji adapter

41GsvtDKGqL._AC_SY400_.jpg


Andaa so chini ya 20,000 kwa waya na adapter inaweza fika Hadi 50,000.

Uhuru na msimbazi Kama unaenda Uhuru na Congo unapata vyote.

Jina la adapter ni digital to analog converter.
 
Unatumia optical,
Then utahitaji adapter

41GsvtDKGqL._AC_SY400_.jpg


Andaa so chini ya 20,000 kwa waya na adapter inaweza fika Hadi 50,000.

Uhuru na msimbazi Kama unaenda Uhuru na Congo unapata vyote.

Jina la adapter ni digital to analog converter.
hiyo kijani,nyeusi na nyekundu huwa zina kazi gani chief?
 
Hapo aidha tv iwe na 3.5mm earphone jack ama utolee kwenye Component Out, vile vitobo vya RCA Cable vyenye rangi nyeupe,nyekundu na njano.

1.Earphone jack, itakupasa uwe na waya wenye pini ya 3.5mm mbele na vichwa viwili vya RCA nyuma. Utachokifanya utachomeka pini kwenye TV kisha utakuja kwenye subs utapachika kwenye Input ya RCA nyekundu na nyeupe respectively. Utalazimika kuiset Subwoofer kwenye Mode ya AUX (Auxilliary) moja kwa moja utaanza kusikia sauti toka kwenye TV.

2.Utalazimika kuwa na RCA Cables zenye vichwa pacha Red and White. Yani juu na chini kuwe sawa. Kisha utachomeka kwenye component out, Red and White respectively kisha utahitimisha kwa kuchomeka kwenye RCA port za Subwoofer. Ukikamilisha hamishia Mode ya subwoofer kwenda AUX kisha utaipata sauti ikiwa vifaa vyote viko sawa.
 
Zinakuwaga nyuma ya tv na kwenye deck.

Huitwa components ypbr
Mkuu red na white siku zote ni Audio, moja inakuwa left na nyengine right (spika za kizamani), na yellow huwa ni video.

Nimecheki online hizo rangi nyengine zinatumika kwenye home theatre za kisasa ambazo Zina sorround sound Kama ifuatavyo.
-purple subwoofer
-green ile speaker ya katikati
-gray na blue sorround sound left na Right.
-brown na tan left na Right.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom