Msaada: Jinsi ya kuchukua screenshot

Msaada: Jinsi ya kuchukua screenshot

anza kwa kubonyeza home bila kuachia halafu bonyeza kile cha kuwasha/kuzimia simu

F9IJPHKI0H8ZR7U.LARGE.jpg

Je vp Sony Xperia?
 
nimejaribu imegoma

inahitaji practice jaribu kama mara 5 hivi, simu nyingi ni kama alivyosema jamaa hapo juu power na volume down button

unahold kwa pamoja kama sekunde 2 hivi.

1_-Xperia_Z_front_wet.jpg


mkono wa kushoto ndio unafanya vizuri ili uweze kuvibonyeza vyote kwa pamoja
 
Hapa kwetu tunatoa huduma ya simu hasa za android in case of software +255 715378899
 
Una press button ya kuzimia simu wakati house huo una press button ya kupunguzia sauti kwa pamoja!!! Una hold kwa pamoja then utaona matokeo
 

Attachments

  • 1434130986974.jpg
    1434130986974.jpg
    27.3 KB · Views: 148
Kumbe ni kitu rahisi hivi dah
 
Back
Top Bottom